Hivi kumbe SportPesa ni wahuni kiasi hiki?

Hivi kumbe SportPesa ni wahuni kiasi hiki?

Kwanini betpawa ukiweka 5000 baada ya mda ukataka kutoa hata kama mechi hazikucheza hela inapungua au kuongezeka?
Unaniuliza Mimi waulize wenyewe kampuni husika hao kwanini wewe ukibeti halafu inakutokea hivyo ndio ujue unaibiwa na hiyo kampuni Yako unayotumia
 
Kwa mliowahi kula hela ya bonasi sportpesa nauliza hiyo hela hapo ya bonasi anapewa kila mshindi wa bonasi kama ilivyo au mnagawana kwa idadi yenu.?
 

Attachments

  • Screenshot_20241004-163123.jpg
    Screenshot_20241004-163123.jpg
    51.6 KB · Views: 10
Yani mwenzenu ni mesuka mkeka Multbet yangu safi timu sita Arsenal vs Psg nikampa Arsenal, Barcelona vs Young boys nikampa Barcelona, inter Milan nikampa kushinda Leverkusen naye nikampa kushinda zidi ya Ac Milan Dortimund naye nika mpa kusinda na Man City nikampa kushinda.

Sasa hadi kipindi cha kwanza kinaisha timu zote nilizo chagua zilikuwa zinaongoza hisipokuwa Match ya Liverkursen na Ac milani walikuwa bado hawajafungana basi nikaendelea na mishe nyingine nakuja kuangalia dakika ya 89 nakuta Liverkursen kaisha funga goli nikawa najisemea kesho watanikoma maana mkeka niliona unaenda kutiki.

Kuja kurudi kwenye mkeka nakuta wameniwekea kwamba nilichagua PSG kushinda dhidi ya Arsenal na nimechagua Ac Milan kushinda dhidi ya Liverkursen.
Hii nchi kila mtu/taasis ni tapeli
 
Back
Top Bottom