zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Tuonyeshe hio before & after kwa picha zisizoeditiwaKuja kurudi kwenye mkeka nakuta wameniwekea kwamba nilichagua PSG kushinda dhidi ya Arsenal na nimechagua Ac Milan kushinda dhidi ya Liverkursen.
Siku nyingine ukiweka screenshot, wu screen record kabisaYani mwenzenu ni mesuka mkeka Multbet yangu safi timu sita Arsenal vs Psg nikampa Arsenal, Barcelona vs Young boys nikampa Barcelona, inter Milan nikampa kushinda Leverkusen naye nikampa kushinda zidi ya Ac Milan Dortimund naye nika mpa kusinda na Man City nikampa kushinda.
Sasa hadi kipindi cha kwanza kinaisha timu zote nilizo chagua zilikuwa zinaongoza hisipokuwa Match ya Liverkursen na Ac milani walikuwa bado hawajafungana basi nikaendelea na mishe nyingine nakuja kuangalia dakika ya 89 nakuta Liverkursen kaisha funga goli nikawa najisemea kesho watanikoma maana mkeka niliona unaenda kutiki.
Kuja kurudi kwenye mkeka nakuta wameniwekea kwamba nilichagua PSG kushinda dhidi ya Arsenal na nimechagua Ac Milan kushinda dhidi ya Liverkursen.
Fafanua mkuu ipoje hiyoInaitwa newtons 3rd law of motion
Naona unaendelea kuwapiga mimba tu kupitia mlango wa nyumaIwe fundisho no 1 screenshot ile code then mkeka mzima hapo unakomaa nao bila screenshot hio mimba ishatoka endelea kubet
Every action there is equal n opposite reactionsFafanua mkuu ipoje hiyo
Next time ntawaburuza kortiniEvery action there is equal n opposite reactions
We unataka kuwa piga ule ujue na wao wanajipanga kukula
Mpwaaa ukiwa na screenshot wakafanya huu uhuni nishtue nakupa lawyer kabisa na m nakula hela yao hapo tokakwaoNext time ntawaburuza kortini
Hilo limeisha ankoMpwaaa ukiwa na screenshot wakafanya huu uhuni nishtue nakupa lawyer kabisa na m nakula hela yao hapo tokakwao
nawakubali sana hawa ni sijawahi kuhamaAchana na wajinga hao tumia sportybet hata ukipiga mil 90 wanakupa
Wspo mkuuu wapoooo sanaaaaWatu tuna bet toka 2010 kuanzia M bet mpaka Piga bet karibu kampuni zote bongo tume pita na hatuja wahi kutana na hizo mambo za kubadilishiwa Chaguo hapo ni WEWE mwenyewe ulijichanganya
Chaguo gani ulaloongelea? Kampuni ndio haiwezi kubadilisha option ulizochagua . Yeye kasema kakuta hela imepungua ,, hili linawezekana kampuni Ina mamlaka yakufanya mabadiliko ya odds, au kuondoa mchezo fulani kwenye ticket Kama mchezo umeahirishwa au ikigundulika Kuna fraudent yoyete ndipo nimemuuliza Kama Alison's vigezo na masharti naona unaropoka kuwa hakun kampuni inayobadilisha machaguo wakati sijazungumzia Jambo hiloHakuna kigezo na sharti linaloweza kuruhusu kampuni kubadilisha chaguo la mteja
Huyu kajichanganya hakuna kampuni inaweza kukubadilishia mkeka , hajui kampuni ya kubeti ukishinda laki tano wao wanafurahi maana wanajua Kama sio kuja kuirudisha hiyo pesa yote utairudisha na zaidi , kampuni ya kubeti haiwezi kutumia nguvu kuchukua pesa yako wakati utawaachia wenyewe kiroho safiTuonyeshe hio before & after kwa picha zisizoeditiwa
Uliweka over 2.5 kwa wenge wewe😂 kuna jamaa alisema hivyo kuwa kashinda kwakuwa alimbetia Barcelona Kushinda nikamwambia lete mkeka tuone kumbe alibetia Barcelona women😅Unaiona afu 5 ndogo sana? Unachoibiwa sio hiyo 5,000, unaibiwa dau ulilopaswa kushinda kwa kubadilisha machaguzi yako.
Mimi ni mdau mzuri wa kucheza over, huwa ni over 0.5 na 1.5 sichezagi over 2.5 hata iweje, kuna siku msimu huu huu mkeka una timu zaidi ya 20 mpaka half time zimetoa timu 16, bado nne, dkika ya 87 hivi timu moja tu ina goli moja ikapata goli la pili nikawa nangoja hela, haikuja nakuja kuchek naona ile mechi chauo ni over 2.5 kitu ambacho sikuweka kabisa.
Soma hapa alichoandika halafu urudi kufafanua:Chaguo gani ulaloongelea? Kampuni ndio haiwezi kubadilisha option ulizochagua . Yeye kasema kakuta hela imepungua ,,
.... Arsenal vs Psg nikampa Arsenal, ... Leverkusen naye nikampa kushinda zidi ya Ac Milan
... Kuja kurudi kwenye mkeka nakuta wameniwekea kwamba nilichagua PSG kushinda dhidi ya Arsenal na nimechagua Ac Milan kushinda dhidi ya Liverkursen.