Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila picha ni umbeya tu.
Mi nkajua Kuna picha, kua serious bas leta picha tubariki macho
Nunueni tv hata za chogo..Huu uzi bila picha ni majungu tu.
Leta picha acha manenoNunueni tv hata za chogo..
jiamini binti acha uoga uogaMimi namshukuru Mungu yule kaka mzuri wangu yuko busy haangalii maana kama jana lile shindano la rhythmic gymnastics ilikuwa balaa.
kabisaMbaya ukute mwafrika hao wazungu hata hutamani kitu
Mantiki ni nini?Aiseh , UnaKuta wadada wamevaa vichupi, nusu sema full uchi .
Sijui kwa mantinki ipi wakuu?
Soma Pia: Olympic 2024 France: Maonesho ya Ufunguzi yashutumiwa kuonesha viashiria vya ushetani na upinga Kristo
😀😀😀😀Ndio ugonjwa wangu wale napenda sana Olympic sababu yao
USSR
😂😂😂😂Mimi namshukuru Mungu yule kaka mzuri wangu yuko busy haangalii maana kama jana lile shindano la rhythmic gymnastics ilikuwa balaa.
Lengo si kutamani.Ni ili wawe wepesi.Mbaya ukute mwafrika hao wazungu hata hutamani kitu
kimsingi ni mashindano,sijaona umuhimu kabisa hata wa ile michezo imagine mtu anaenda kulenga kibastola...yani utoto ni mwingi kweli sometimes unatakiwa ujitoe akili ili uishi.
Naunga mkono hoja! 😂Huu uzi bila picha ni majungu tu.
Wewe umewahi kujifunza shabaha/ulengaji?sijaona umuhimu kabisa hata wa ile michezo imagine mtu anaenda kulenga kibastola...yani utoto ni mwingi kweli sometimes unatakiwa ujitoe akili ili uishi.
Kwahiyo chupi tu ndio inafanya wawe wepesLengo si kutamani.Ni ili wawe wepesi.
NB;Huwa unatazama mieleka/WWE?
wasting of time and destroy human mental reasoning capacitykimsingi ni mashindano,
binadamu tunapenda mashindano kwenye chochote kile
wale athletes wanaoshindana wanafanya wanachopenda, watazamaji mnaburudika
nilishangaa kuona kuna mashindano ya kujamba, ila haikuwa olympics