Hivi kuna mantiki ya wanamichezo kuvaa vichupi kwenye Olympic

Hivi kuna mantiki ya wanamichezo kuvaa vichupi kwenye Olympic

Mleta uzi ni mpika majungu au muuza ujugu.Where is fotografia?
je wewe ni nani kati ya hayo uliyosema. Je kuuliza ni ujinga au kuleta majungu ?

nimeuliza kwa hekima tuuu mantiki ya wadada kuvaa vichupi nusu uch ila sijaleta majungu. Nadhani hata kwenye kikao cha board sio vibaya kuuliza maana nataka kujua na sio kuleta majungu.

Mantiki ya wanamichezo kuvaa vichupi. si bora wangevaa vikaptula.
 
je wewe ni nani kati ya hayo uliyosema................je kuuliza ni ujinga ,,,au kuleta majungu ?



nimeuliza kwa hekima tuuu mantiki ya wadada kuvaa vichupi nusu uchi.........ila sijaleta majungu.....................nadhani hata kwenye kikao cha board ,, sio vibaya kuuliza.........maana nataka jua.....na sio kuleta majungu







mantiki ya wanamichezo kuvaa vichupi...si bora wangevaa vikaptula
Ungeliangalia swali kwa umakini.Wala usitaharuki.Soma tena.
 
wasting of time and destroy human mental reasoning capacity
Ndo shida ya waafrika.

Hampo body positive, mnatumia kichaka cha 'maadili' kujitetea. Yale ni mashindano sio porno, unaogopa maungo ya kawaida ya mwili wa binadamu?

Sasa kama waafrika tuna maadili sana mbona tunaongoza kwa kut***ana. Umeona birth rate zetu?
 
Ndo shida ya waafrika.

Hampo body positive, mnatumia kichaka cha 'maadili' kujitetea. Yale ni mashindano sio porno, unaogopa maungo ya kawaida ya mwili wa binadamu?

Sasa kama waafrika tuna maadili sana mbona tunaongoza kwa kut***ana. Umeona birth rate zetu?
Unataka kutuambia yeye si wa kuachiwa mtoto amtawaze?Tutakutana na kesi ya kifungo cha miaka 60 kwake?
 
Ndo shida ya waafrika.

Hampo body positive, mnatumia kichaka cha 'maadili' kujitetea. Yale ni mashindano sio porno, unaogopa maungo ya kawaida ya mwili wa binadamu?

Sasa kama waafrika tuna maadili sana mbona tunaongoza kwa kut***ana. Umeona birth rate zetu?
kuto......na ni nature usije ukasema mbele za watu huo upumbavu.

michezo sikatai ila kuna kitu kinaitwa ustaarabu na hekima ni jambo muhimu sana kuzingatia.
 
Ndo shida ya waafrika.

Hampo body positive, mnatumia kichaka cha 'maadili' kujitetea. Yale ni mashindano sio porno, unaogopa maungo ya kawaida ya mwili wa binadamu?

Sasa kama waafrika tuna maadili sana mbona tunaongoza kwa kut***ana. Umeona birth rate zetu?
kwani pia unajua population ya uengereza na tanzania ipo vipi?

now days ndiyo wameacha kuzaliana msiwape kipaumbele hao wajinga.

mtafungwa kamba kama mbuzi.

shem on you
 
Vina kuhusu nini? Au ulitaka wavae hijabu? Mtu anavaa kile anachokna kinampendeza yeye sio wewe na kitampa uhuru wa kufanya kile anachokifanya
Tatizo wakivaa Hijabu watu wa dini furani Wanaonekana kama watumwa na Oppressed.

Uhuru wa Mavazi ni kuvaa nusu uchi ila akiaamua Mwanamke ajigubike nguo asionekane chochote ni Utumwa.

Double standards.
 
Back
Top Bottom