Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
misri,,,,,,,,,,,,,,,,,,,tako zuri huwa lipo kwenye dera ....limefunikwa na dera kanga,,,,,,,,,,,kwani we hujui uzuri wa kanga moko ?Wewe hapa kati ya Spain na Misri ungesapoti timu ipi??
View attachment 3065444
Jua kali, joto watu wamevaa ma tight skin hawachelewi kuwashwa na kujikuna badala ya kufanya attackWewe hapa kati ya Spain na Misri ungesapoti timu ipi??
View attachment 3065444
😂😂😂Kwanin nisiwatamani akatu nao ni wanawakeKama umefikia hatua ya kutamani wadada wanamichezo upo hatua mbaya ya tamaa.
Ninayo moja, nikiiweka humu nahisi BAN itanihusu..!!Aiseh , UnaKuta wadada wamevaa vichupi, nusu sema full uchi .
Sijui kwa mantinki ipi wakuu?
Soma Pia: Olympic 2024 France: Maonesho ya Ufunguzi yashutumiwa kuonesha viashiria vya ushetani na upinga Kristo
Mbona kwa wanaume wanaokimbia riadha husemi wakimbie na kanzu. ? Hata hao wanawake wenu waambieni wake wamevaa burka. Kila Taifa Lina tamaduni zake. Unachokiita kwako kuvaa uchi kwa wenzako wapi sawa na hakuna tatizo kwao. Kamati ya Olympic haijapanga Mavazi ya kuvaa. Wapo baadhi ya wanawake na wanaume huvufunika manguo kubi gubi lakini ndani chupi hawana. Wakiamua kuja hivyo poa tuu. Who care? Wakipata medali hatuangalii walikuwa wamevaa nini. Sisi tutapandisha bendera ya nchi yake na kuomba wimbo wa taifa lakeTatizo wakivaa Hijabu watu wa dini furani Wanaonekana kama watumwa na Oppressed.
Uhuru wa Mavazi ni kuvaa nusu uchi ila akiaamua Mwanamke ajigubike nguo asionekane chochote ni Utumwa.
Double standards.
Mkuu hata zuchu asipokuja Leo nalala kwa amani
Hiyo ndio hijabu waliyovaa Misri?Wewe hapa kati ya Spain na Misri ungesapoti timu ipi??
View attachment 3065444
Leta ushahidi wa pichaAiseh , UnaKuta wadada wamevaa vichupi, nusu sema full uchi .
Sijui kwa mantinki ipi wakuu?
Soma Pia: Olympic 2024 France: Maonesho ya Ufunguzi yashutumiwa kuonesha viashiria vya ushetani na upinga Kristo
Inapunguza ushindani kutoka nchi zenye tamaduni za kifahidhina.Aiseh , UnaKuta wadada wamevaa vichupi, nusu sema full uchi .
Sijui kwa mantinki ipi wakuu?
Soma Pia: Olympic 2024 France: Maonesho ya Ufunguzi yashutumiwa kuonesha viashiria vya ushetani na upinga Kristo
Sawa sawawengi wetu wanaume tushavuka enzi za kudownload wanawake na mitako yao kwenye simu sooooooo subiri form 4 leavers waje
Hoja sio mavazi ya dini yawepo michezoni Hoja ni Uhuru wa Mavazi kwa kila mtu yaani kila mtu avae kile atakacho yaani yupo huru.Mbona kwa wanaume wanaokimbia riadha husemi wakimbie na kanzu. ? Hata hao wanawake wenu waambieni wake wamevaa burka. Kila Taifa Lina tamaduni zake. Unachokiita kwako kuvaa uchi kwa wenzako wapi sawa na hakuna tatizo kwao. Kamati ya Olympic haijapanga Mavazi ya kuvaa. Wapo baadhi ya wanawake na wanaume huvufunika manguo kubi gubi lakini ndani chupi hawana. Wakiamua kuja hivyo poa tuu. Who care? Wakipata medali hatuangalii walikuwa wamevaa nini. Sisi tutapandisha bendera ya nchi yake na kuomba wimbo wa taifa lake
Ewaaaa hizi zinatakiwa kuja kwa wingi kwenye huu uzi