Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa hakwambii tu Madam, lakini atakuwa anacheck hata updates za kwny Insta😂Mimi namshukuru Mungu yule kaka mzuri wangu yuko busy haangalii maana kama jana lile shindano la rhythmic gymnastics ilikuwa balaa.
Hata akiangalia hakuna tatizo maana haweza kuingia ndani ya TV aopoe mmoja.Mimi namshukuru Mungu yule kaka mzuri wangu yuko busy haangalii maana kama jana lile shindano la rhythmic gymnastics ilikuwa balaa.
Nazijua ratiba zake, kwa jana asingeweza kuangalia labda ingekuwa jioni.Huwa hakwambii tu Madam, lakini atakuwa anacheck hata updates za kwny Insta😂
Sema mwamba anajua unavyomkubali?
Mimi niliangalia session zote 2 mwanzo mwisho, kwakweli lilikuwa zuri sana hadi akashinda yule Sofia Raffaeli.Nilienjoy sana kuliangalia lile shindano...Mungu fundi kwakweli
Tusio na tv unatusaidiaje sasahahaaa nishaachaga vitu vya kudownoad matako ya wadada kwenye simu yangu.....just naona tuu kwenye tv channel............aiseeeeeeeeeeee
Mimi sitaki aone kabisa, niacheni.Hata akiangalia hakuna tatizo maana haweza kuingia ndani ya TV aopoe mmoja.
sijaona umuhimu kabisa hata wa ile michezo imagine mtu anaenda kulenga kibastola...yani utoto ni mwingi kweli sometimes unatakiwa ujitoe akili ili uishi.
Halafu wanabana nyonyo sio poa, wote wako flat kabisaAiseh , UnaKuta wadada wamevaa vichupi, nusu sema full uchi .
Sijui kwa mantinki ipi wakuu?
Soma Pia: Olympic 2024 France: Maonesho ya Ufunguzi yashutumiwa kuonesha viashiria vya ushetani na upinga Kristo
Sasa hiyo ya bila vichupi itakuwa ni Olympic gani? Hata haitanogaAiseh , UnaKuta wadada wamevaa vichupi, nusu sema full uchi .
Sijui kwa mantinki ipi wakuu?
Soma Pia: Olympic 2024 France: Maonesho ya Ufunguzi yashutumiwa kuonesha viashiria vya ushetani na upinga Kristo
Inabidi tumsogezee picha ya REBECCA ANDRADEMimi namshukuru Mungu yule kaka mzuri wangu yuko busy haangalii maana kama jana lile shindano la rhythmic gymnastics ilikuwa balaa.
Safi sana👍🏽Nazijua ratiba zake, kwa jana asingeweza kuangalia labda ingekuwa jioni.
Anajua Mkuu, naye ananikubali hivyohivyo.
Mimi nawaangalia na hakuna shida au umeona kuna shida?Huwa nawaza kuna watu wazima wanakaa kuwaangalia wale wadada? Woiiiiih
Ngachokaaaaaa!!!
Kwa watu wazimaa, mie ndo nasemeaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nawaangalia na hakuna shida au umeona kuna shida?
[emoji28]
Eeeh ! Kumbe mimi mtoto,nilisahau🤣Kwa watu wazimaa, mie ndo nasemeaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]