Hivi kuna mkoa wenye Madubwasha Makubwa kama Mbeya na Mtwara?

Hivi kuna mkoa wenye Madubwasha Makubwa kama Mbeya na Mtwara?

Tako kubwa linafurahisha sana sijui Mungu alituumbaje sisi wanaume ila mimi nikiona mwanamke mwenye matako makubwa nabaki kufurahi tu nasikia raha hatari acha kabisa ☺️☺️☺️

View attachment 3198093
Cha kuchekesha hiyo picha sasa🤣🤣🤣, hako kajamaa kamekamatia chini kabisa kutuhakikishia yaan!

Tatizo la kikanuni la maumbile ni kwamba huyo mwanamke anavyoonekana mrembo kwa 'housing', ndiyo yaweza kuwa hilo ndiyo fungu lake pekee alilojaliwa.

Ukienda kwenye maadili na nidhamu waweza kuta sifuri.

Ukienda kwenye yaliyomo kama yamo, unawezakuta hayamo na kinachokuvutia kisiwe halisi umejaziwa silicone!


Hukuti aliye perfect, hicho ndiyo Mungu alitunyima.

Kama wangelikuwepo wa hivyo, kila idara unaikuta safi, wanaume tamaa zingelituisha na tungeishi maisha marefu sana na ya fanaka.
 
Nimezunguka hii nchi ila hiyo mikoa imenitetemesha. Mbeya wanayo ya asili, Mtwara wanayatengeneza mtoto anapo zaliwa, yanakuwa yanabinuka juu juu, malainii viuno wanavirekebisha na shanga, pia yanakuwa yamoto kama jiko la mkaa.

Nadhani kuna uzi unaofundisha jinsi wanavyofanya.
View attachment 3197159
Acha kuwaita wanawake madubwasha,kumbuka wanawake ndio mama zako,dada zako,wake zako,je wao pia ni madubwasha?
 
Kwenye madubwasha makubwa kuna UKIMWI daraja A. Yaani umeme wa giridi ya taifa au msogo wa kilowatt 1500.
 
Manyara naenda mwezi ujao... naenda kuona pisi kali za Kiiraki halafu naenda Tabora kuona mizigo na kuitumia.Huu mwaka nataka kutumia ninachopanga.
Karibu sana medivine na elyambilo hapa Babati
 
Safi sana. Enjoy if you get one. I gonna enjoy if i get one too.
 
Back
Top Bottom