Hivi kuna Mtanzania aliyekula bata kama Jakaya Kikwete?

Mavi yake yakikusanywa yapo nchi zaid ya 100

Mwenzangu na mie yote yanakusanywa tangu uzaliwe yapo Iringa labda tofauti ni wilaya ulizonyea
Hahahahaha,sio kwa kichambo hicho.JF NI RAHA SANA,NI STRESS REMOVER Wala sitoki
 
I think ni Marais wote iwe wastaafu au walio madarakani, pia hata Mawaziri na Wabunge tu hutembea na hicho kitu. Ni kawaida mno!
umesema kweli,mzee wangu hutembea na Ak 47 au bastola
 
Mdukuzi!

Hon. JK akila bata au hata kuku au hata Sungura wewe inakuhusu nini! Au wewe ni mama lishe?

Mwache muislam mwenzetu apumzike kwani kafanya makubwa sana kwa nchi hii.

Bravo JK.
 
Akili za ccm
 
Nimemsikia jana akiiomba serikali kuangalia/punguza bei ya mbolea. Nikawaza, huyu mzee hajui kama kipaumbele sasa ni kuleta VAR na kuweka katika viwanja vya soka!!??
Na kwa awamu yake kilimo kwanza mbolea ilikuwa ya ruzuku.
 
Mdukuzi!

Hon. JK akila bata au hata kuku au hata Sungura wewe inakuhusu nini! Au wewe ni mama lishe?

Mwache muislam mwenzetu apumzike kwani kafanya makubwa sana kwa nchi hii.

Bravo JK.
Ukisoma hii story ya JK alivyowainua wanawake kwenye agro business chain utafurahi.

He has the power of legacy that lives 👇



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…