I think ni Marais wote iwe wastaafu au walio madarakani, pia hata Mawaziri na Wabunge tu hutembea na hicho kitu. Ni kawaida mno!NI kweli mnaweza zinguana akaikoki mzee !kwisha habari yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I think ni Marais wote iwe wastaafu au walio madarakani, pia hata Mawaziri na Wabunge tu hutembea na hicho kitu. Ni kawaida mno!NI kweli mnaweza zinguana akaikoki mzee !kwisha habari yako
POWER NA RESPECT YEYE NDIO ANAYETOA KWA HAO WATU WAKE. UPO?Rostam ana money hana power wala respect,
Weka hilo gazeti uwanjani!!China mbali Kenya tu hapo ..mpaka gaazeti waliandika.. ..
Hahahahaha,sio kwa kichambo hicho.JF NI RAHA SANA,NI STRESS REMOVER Wala sitokiMavi yake yakikusanywa yapo nchi zaid ya 100
Mwenzangu na mie yote yanakusanywa tangu uzaliwe yapo Iringa labda tofauti ni wilaya ulizonyea
Hata humu Uzi wake umo.. japokuwa Ni wa zamani.Weka hilo gazeti uwanjani!!
umesema kweli,mzee wangu hutembea na Ak 47 au bastolaI think ni Marais wote iwe wastaafu au walio madarakani, pia hata Mawaziri na Wabunge tu hutembea na hicho kitu. Ni kawaida mno!
Mdukuzi!Kuna wimbo unaitwa Money,Power,Respect wa Lox
Fist yo get money
Then you get maza f....r power
Then maza f......r guys will respect you.
What you want in life
Money Power Respect
JK got it all
Jk hajui njaa ni mdudu gani
Kubali kataa CCM ni mali ya Jk ,kinana na makamba
Jk kazunguka dunia nzima with power money and respect
Na bado anaonekana atakula hizi bata mpaka afikishe miaka 100
Ukijumlisha bata alizokula Jk hata ujumlishe marais wote tangu uhuru hawamfikii
Wanasema Jk bado unaongoza nchi gani sijui
Jk kana ni kweli mwambie mama atuachie yule DJ disco limepoa.
Mbona we ulivumilia kelele za muziki.
Inakuwaje wengine muziki uwe kelele.nadhani Mungu alikubariki sababu roho yako nyeupe huna nongwa na mtu.
God bless you Jk
Dj tuwekee wimbo wa riziki uliopigwa na K bazil kusindikiza haters.
Haters niueni
Akili za ccmKwetu tambuka reli soko mjinga wanauza maharage yaliyopikwa bakuli mia mbili, na yashaungwa nazi kabisa
Unapika ugali usiku ukitoka kwny mihangaiko unamtuma Mtoto maharage ya mia mbili kwny bakuli siku imeisha
Ukishiba unaingia JF kwa miatano yako tu ya kifurushi kubishana Siasa za Katiba mpya
Na kwa awamu yake kilimo kwanza mbolea ilikuwa ya ruzuku.Nimemsikia jana akiiomba serikali kuangalia/punguza bei ya mbolea. Nikawaza, huyu mzee hajui kama kipaumbele sasa ni kuleta VAR na kuweka katika viwanja vya soka!!??
Ukisoma hii story ya JK alivyowainua wanawake kwenye agro business chain utafurahi.Mdukuzi!
Hon. JK akila bata au hata kuku au hata Sungura wewe inakuhusu nini! Au wewe ni mama lishe?
Mwache muislam mwenzetu apumzike kwani kafanya makubwa sana kwa nchi hii.
Bravo JK.