Maisha ya bata matamu sana. Kwa hili siwezi kumponda JK. Aendelee tu kula hilo bata mpaka siku yake ya kiama. Maana hakuna namna.
Bata batani🍻🥂🍾🍴👩❤️👨🥵
Nani akuue weweKuna wimbo unaitwa Money,Power,Respect wa Lox
Fist yo get money
Then you get maza f....r power
Then maza f......r guys will respect you.
What you want in life
Money Power Respect
JK got it all
Jk hajui njaa ni mdudu gani
Kubali kataa CCM ni mali ya Jk ,kinana na makamba
Jk kazunguka dunia nzima with power money and respect
Na bado anaonekana atakula hizi bata mpaka afikishe miaka 100
Ukijumlisha bata alizokula Jk hata ujumlishe marais wote tangu uhuru hawamfikii
Wanasema Jk bado unaongoza nchi gani sijui
Jk kana ni kweli mwambie mama atuachie yule DJ disco limepoa.
Mbona we ulivumilia kelele za muziki.
Inakuwaje wengine muziki uwe kelele.nadhani Mungu alikubariki sababu roho yako nyeupe huna nongwa na mtu.
God bless you Jk
Haters niueni
Amekula bata kumzidi bashite? maana kwa maneno yake mwenyewe alidai hakuna anayekula raha hapa duniani kama yeye..........Kuna wimbo unaitwa Money,Power,Respect wa Lox
Fist yo get money
Then you get maza f....r power
Then maza f......r guys will respect you.
What you want in life
Money Power Respect
JK got it all
Jk hajui njaa ni mdudu gani
Kubali kataa CCM ni mali ya Jk ,kinana na makamba
Jk kazunguka dunia nzima with power money and respect
Na bado anaonekana atakula hizi bata mpaka afikishe miaka 100
Ukijumlisha bata alizokula Jk hata ujumlishe marais wote tangu uhuru hawamfikii
Wanasema Jk bado unaongoza nchi gani sijui
Jk kana ni kweli mwambie mama atuachie yule DJ disco limepoa.
Mbona we ulivumilia kelele za muziki.
Inakuwaje wengine muziki uwe kelele.nadhani Mungu alikubariki sababu roho yako nyeupe huna nongwa na mtu.
God bless you Jk
Haters niueni
Hatari sanaDah alafu anaibuka mtu mmoja anasema binadamu wote ni sawa
Halafu anatoka mjinga mmoja anajitapa eti katika Wala raha duniani yeye ni namba mojaKwetu tambuka reli soko mjinga wanauza maharage yaliyopikwa bakuli mia mbili, na yashaungwa nazi kabisa
Unapika ugali usiku ukitoka kwny mihangaiko unamtuma Mtoto maharage ya mia mbili kwny bakuli siku imeisha
Ukishiba unaingia JF kwa miatano yako tu ya kifurushi kubishana Siasa za Katiba mpya
Bashite miaka sita tu chali, anajificha uvunguniJk kaanza bata akiwa tumboni nasikia mzee wake naye aliwahi kuwa DC kama bashite
Dah kuna watu wana bahati zao,hapo hujamuongelea mama mtu,first lady na mbungeBabu yake aliwahi Akida wa Wajerumani, na walipoondoka wakaja waingereza akawa Hakimu kule Bagamoyo hadi miaka ya 1940s na mtoto wake akawa DC kule Same na Pangani miaka ya mwisho ya Uhuru na mwanzo ya Uhuru, 1965 chini ya Julius Nyerere akawa Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba
Kwa hiyo Baba wa Babu alikuwa Akida na Hakimu
Babu akawa DC
Baba akawa Rais
Mtoto kawa Naibu Waziri
Jamaa hawajapoteza kijiti kuanzia 1880s
Labda mtoto ndio atoe boko
Labda mtoto ndio atoe boko
Dr Kigwa!Kuna wimbo unaitwa Money,Power,Respect wa Lox
Fist yo get money
Then you get maza f....r power
Then maza f......r guys will respect you.
What you want in life
Money Power Respect
JK got it all
Jk hajui njaa ni mdudu gani
Kubali kataa CCM ni mali ya Jk ,kinana na makamba
Jk kazunguka dunia nzima with power money and respect
Na bado anaonekana atakula hizi bata mpaka afikishe miaka 100
Ukijumlisha bata alizokula Jk hata ujumlishe marais wote tangu uhuru hawamfikii
Wanasema Jk bado unaongoza nchi gani sijui
Jk kana ni kweli mwambie mama atuachie yule DJ disco limepoa.
Mbona we ulivumilia kelele za muziki.
Inakuwaje wengine muziki uwe kelele.nadhani Mungu alikubariki sababu roho yako nyeupe huna nongwa na mtu.
God bless you Jk
Haters niueni
Dah kuna watu wana bahati zao,hapo hujamuongelea mama mtu,first lady na mbunge
Lete ushahidi
Jakaya Mrisho Kilwete hamfikii Paul Christian Makonda,Kuna wimbo unaitwa Money,Power,Respect wa Lox
Fist yo get money
Then you get maza f....r power
Then maza f......r guys will respect you.
What you want in life
Money Power Respect
JK got it all
Jk hajui njaa ni mdudu gani
Kubali kataa CCM ni mali ya Jk ,kinana na makamba
Jk kazunguka dunia nzima with power money and respect
Na bado anaonekana atakula hizi bata mpaka afikishe miaka 100
Ukijumlisha bata alizokula Jk hata ujumlishe marais wote tangu uhuru hawamfikii
Wanasema Jk bado unaongoza nchi gani sijui
Jk kana ni kweli mwambie mama atuachie yule DJ disco limepoa.
Mbona we ulivumilia kelele za muziki.
Inakuwaje wengine muziki uwe kelele.nadhani Mungu alikubariki sababu roho yako nyeupe huna nongwa na mtu.
God bless you Jk
Haters niueni
Uuzaji wa NGADA nao umetokea wapi? Ufisadi wa baba ?
Juzi kati Makonda alienda kuhani msiba wa Dr Mwele, na hakukuwa na mbwa yeyote aliyethubutu kumkamata.Mjinga yule bashite kajificha uvunguni mwa kitanda kamwambia housegirl watu wakigonga mlango waambie baba hayupo
Unaita tuhuma wakati tuliona wenyewe TWIGA na wanyama pori wengine wengi tu wakipakiwa kwenye ndege na kupelekwa Uarabuni!!! Hakuna wakati wauza NGADA walishamiri kama wakati wa Kikwete ; mpaka hata wabunge wakawa wadau wa biashara hiyo!! Marehemu Amina Chifupa alipotishia kuwataja bungeni akapoteza uhai wake mysteriously!!Uuzaji qa ngada Umetokea Pakistan na America ya Kaskazini
Kuhusu Tuhuma za Ufisadi ukiacha Mwl Nyerere hakuna Rais ambae hakatuhumiwa kwa ufisadi