miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Huyo Dereva wa mark x ni mpumbavu namba moja duniani toka lini hicho kigari kinaweza kufanya ligi na nissan Navara,
Barabaran kuna shida Sana hasa wenye vigari vidogo
Ndiyo kwanza anajichanga ajiunge na driving school.Kwani Kiduku Lilo anasemaje?
Yaani wewe na hiyo takataka unasema una leta ligi barabarani? Hiyo takataka fananisha na wenzie hao brand ya toyota ukija huku kwa Subaru Forester Xt 2009 ndio utajua kuwa toyota ni takataka tu barabarani, usirudie tena kuongelea vigari vyenu hivyo vya mikopo
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah, ni mimi tuu sina gari jamani.
Tuchangiane wadau[emoji23][emoji23][emoji2088][emoji2088]
Sent using Jamii Forums mobile app
Anasema brevis ni chombo Cha usafiri tuKwani Kiduku Lilo anasemaje?
@eminentiaTumia akili ya kuzaliwa kidogo..hizo brevis ni za japan limit kule ni 180 hivo gari kwa soko la japan zote zinatoka na 180 dash ....unahisi gari lenye hp 200 plus linaweza ishia 180 ? Yan kwamba ndo mwsho ?? Kama wenye 120hp kina rav4 wanafika hapo ?? Toa limitation litazid na kupitiliza thou haliwez race na gari yenye hp above 300
@eminentia
Google TOYOTA SUPRA alafu kasome dash board speed meter inasoma ngap halafu uje utetee point yako ya (JAPAN GAR ZOTE ZINATOKA NA 180 DASH)
Sent using Samsung S6 Edge
Elewesha bas maana a soko la....Unaelewa maana ya soko la?? Mbna yaris ipo inasoma 220[emoji848]
Kwani Kiduku Lilo anasemaje?
Sio kila Subaru inamtesa Toyota.Mkuu hapo kwa mnyama baru hafui dafu aisee [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo 180kph yenye 400hp ni inakimbia sana kuliko 240kph yenye 250hp? Assume wote wamemaliza kisahani.Bavaria,
Usidanganywe na dash ...kuna kitu inaitwa market technique. huwa wanaamin na wanajua kwamba zikiekwa gari mbili same hp but one with dash kubwa let say 220kph na ingine 180kph basi ile yenye 220 itauzika sana au kuonekana inakimbia kuliko ingine umesahau hp ziko sawa au inaeza kuwa ndogo...pili hatuangalii number of turbos...kuna nissan nama si vw pick up ako na twin turbo but si chochote kwa ford pick up au hilux pick up with 1GD ftv ....
Gari ni hp ziwepo za kutosha ...hata kuingia racing hawakuulizi uko na cc ngap bali hp ngap...hivo ungetupa technical specs za gari ya jamaa unaonekana unaijua sana
Kwahiyo 180kph yenye 400hp ni inakimbia sana kuliko 240kph yenye 250hp? Assume wote wamemaliza kisahani.
Nipe elimu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kila Subaru inamtesa Toyota.
Kama unaudhuria sprint rally huyo Subaru Forester pamoja na kuwa na turbo na tunning za kutosha bado anapigwa na Brevis ambayo ni stock.
Mmmmh, hii sidhan kama ni kweli aiseeeMcheki huyu mwamba hapa chini, kajivisha mabomu sana.
Mkuu nazungumzia sprint za pale Tanganyika Packers kwenye rough road. Ambapo gari huzunguka lap 1 na atakaye tumia muda mfupi kuliko mwenzake ndio mshindi.Mkuu labda hiyo forester inatembelea piston mbili ....yan assume umechukua ile yenye 220hp stock afu ukaipa turning ya kutosha hata 80% ya orinal yake afu ichapwe na brevis yenye 220hp😁😁