Hivi kuna mtu aliwahi kufanya ligi na Brevis AI 300 na akaishinda kweli? Mbona vigari vinakuwa uji sana mbele ya huyu mnyama?

Hivi kuna mtu aliwahi kufanya ligi na Brevis AI 300 na akaishinda kweli? Mbona vigari vinakuwa uji sana mbele ya huyu mnyama?

Maajabu ni kwamba hata hiyo Forester kuna watu wanaiona ni takataka tu

Dunia pana sana
Yaani wewe na hiyo takataka unasema una leta ligi barabarani? Hiyo takataka fananisha na wenzie hao brand ya toyota ukija huku kwa Subaru Forester Xt 2009 ndio utajua kuwa toyota ni takataka tu barabarani, usirudie tena kuongelea vigari vyenu hivyo vya mikopo

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Okay.

Tuchukulie mfano wa magari mawili;

1. Toyota Crown ina 300hp na dashboard mwisho ni 180kph.

2. Volkswagen Golf GT ina 200hp na dashboard mwisho ni 300kph.



Sent using Jamii Forums mobile app

Then what kwamba we utachagua vw ?? Sababu?? Au kisa dash...??

Sasa gari iwe na zaidi tani moja afu hp 200 itafikaje 300kph??

hiyo crown enyewe 300kph haitofika sembuse ka golf
 
Car enthusiasm deals with psychological point of view....
Naona wengi mnabisha Foresta mara Brevis.

Nakuhakikishia kuna mtu ana Passo yake ya piston 3, anaikubali na hizo Brevis na Subaru anaona ni takataka tu.....Ndiyo psychology yake imeegemea upande huo....na kimsingi yupo sahihi..

Point yangu hapa ni kwamba unachokikubali wewe, usilazimishe kila mtu akikubali.... regardless kina performance kubwa kiasi gani..

Gari ni kama mwanamke...Yule mwanamke unayeona ndiyo mzuri sana, unamzimia sana, ana vigezo vyote unavyovipnda....hakika kuna mtu anamuona takataka tu....anamuona hana hadhi hata ya kuwa mpishi wa chakula cha mbwa wake.

La mwisho, mnaofananisha brevis na Foresta mnakosea sana.....hizo ni gari mbili ambazo hazipo kwenye category moja....

Hivyo mtakuwa hamfanyi fairly comparisons..
Lastly, both Brevis and Foresta are great cars..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Car enthusiasm deals with psychological point of view....
Naona wengi mnabisha Foresta mara Brevis.

Nakuhakikishia kuna mtu ana Passo yake ya piston 3, anaikubali na hizo Brevis na Subaru anaona ni takataka tu.....Ndiyo psychology yake imeegemea upande huo....na kimsingi yupo sahihi..

Point yangu hapa ni kwamba unachokikubali wewe, usilazimishe kila mtu akikubali...
Kuna vitu ni objective na vingine ni subjective, this is Objective
 
Wataalamu wa huu uzi nitawatumia mwezi wa 11 baada ya kuwa mbunge,kunichagulia VXR ipi ni nzuri.
 
Huwezi kulinganisha foresta na brevis mzee, foresta habari nyingine, tatizo mnaanzisha ligi na watu wasio na habari na ligi yenu uko
Hivyo vi-Forrester huwa navidhalilisha daily, sasa sijui ni takataka ipi unayozungumzia..., hahahaha, ohujakutana na mimi labda..., i get insanely obsessed ukini-offend in any way..., the only way utaniweza ni kama utamaintain above 180kph throughout...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Elimu elimu elimu...

Gari uliotaja ina cc2000 kavu ina 177hp si kitu kwa brevis yoyote ..then yenye turbo inatoa kitu kama 225hp hii ni sawa na ijz ya kawaida...sasa unasemaje hiyo forester inakimbia au ndo mmecremishwa subaru zote zinakimbia......aleast ungesema impreza wrx ile yenye 280hp ila si forester original labda uiboost
Mkuu vipi ile Subaru GVB unaizungumziaje
 
Back
Top Bottom