Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Ndiyo maisha aliyo chagua na anayempenda anayabeba yotediva yeye hajui hata kupika chai atajua vidal
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo maisha aliyo chagua na anayempenda anayabeba yotediva yeye hajui hata kupika chai atajua vidal
Aiseee mm mwenyewe nkiwaNakwambia ni shida kuna kipindi alikaa kwa broo ikabidi niwambie huyu mpikieni hivi ukimpa vya hivi anadokoa wakwamwelewa, sasa sie tunavyokarangizya mpaka radha inapotea [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Pwani ipi unaisema wewe! maana walio wengi hata ugali hawajui kupika hauivi kwa mapishi gani huo ugali kwa ving'onda au dagaa mchele? Labda wali wa nazi sawa sababu mikoa mingi nazi chache embu huyo pwani mpe kuku mzima amtengeze nami mtu wa mkoa nipe kuku uone kama kwangu hutakula mpaka pistol!Wapo wa michemsho tu sio wa kupika,wanaojua kupika wapo pwani zaidi...lakini ukienda mikoa ya......
Huyo hana kosa hajawahi iona nazi mwenye kosa huyo aliyemletea nazi umemtoa mtu huko unategemea nini mf watu wa humu kuku wanamjua vile vipande lakini kumwandaa hawajui hata ukinda sokon dada anakwambia mkate kate kabisa, haa sasa mie siwezi nunua huyo lazima nimtengeneze mwenyeweYule aliyekata nazi vipande vinne na kuviweka juu ya ndizi na kupika vipi?
Habari zenu waungwana.
Katika pita pita zangu nikajikuta nimepata hilo swali hivi kuna wanawake ambao hawajui kupika
Hivi ni kweli hicho kitu kipo?
Na Kama kipo huyo mwanamke ameishi sayari gani ambayo ameshindwa kujua kupika?
Au kuna excuse zipo ambazo zinamfanya asijue kupika?
Na kwa mwanamke mwenyewe anajichukulia vipi kwa hali hiyo?
Waungwana hebu nisaidieni hapo kuniweka sawa.
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] mwenge wa olimpicHiyo kachumbari lazima ukae toilet unakimbiza mwenge
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] haa haa eti kula uchafuMm mama yetu alitulea kijeshi yaan mpaka chapati na maandazi napika yaan nikikaa jikoni km ww ni mwanamke hujui kupika utaomba darasa.Na hii imenisaidia kuepuka kula uchafu qa mgahawani kipindi Niko sijaoa
Hakuna nyama ya kuku yenye shombo wala samaki mwenye shombo unampika kiasili mtu anakunywa mpaka mchuzi [emoji3] [emoji3] [emoji3]Aiseee mm mwenyewe nkiwa
Kijijin hua staman hata kuondoka
Maana mama anapika vya
Asili mapaka raha
Ndiyo unaitwa ubwabwa au mapande [emoji2] [emoji2] [emoji2]Mbona wapo. Akipika ubwabwa unakuwa laini kama uji
Aiseee mpaka nmefkiria kuletaHakuna nyama ya kuku yenye shombo wala samaki mwenye shombo unampika kiasili mtu anakunywa mpaka mchuzi [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Nayeye mwenyewe akijitambua ataajua unaweza enda sehemu ukakuta chakula ambacho hukijui lakini unajifunza na unaelewa ni mtu mwenyeweWapo wengi sana...
Makuzi ndiyo yanamfanya mwanamke asijue kupika...
Kwa maana ya kwamba kila kitu hufanyiwa toka utotoni... na hata ukubwani mwenyewe hutafuta mtu wa kumfanyia kazi zake...
Cc: mahondaw
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] usinivunje mbavu mieAiseee mpaka nmefkiria kuleta
Posa leo
Wapo ndio baadhi wakipika nyama.Habari zenu waungwana.
Katika pita pita zangu nikajikuta nimepata hilo swali hivi kuna wanawake ambao hawajui kupika
Hivi ni kweli hicho kitu kipo?
Na Kama kipo huyo mwanamke ameishi sayari gani ambayo ameshindwa kujua kupika?
Au kuna excuse zipo ambazo zinamfanya asijue kupika?
Na kwa mwanamke mwenyewe anajichukulia vipi kwa hali hiyo?
Waungwana hebu nisaidieni hapo kuniweka sawa.
[emoji23] [emoji23] [emoji8] [emoji8][emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] usinivunje mbavu mie
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ni shidaWapo ndio baadhi wakipika nyama.
Ya ng'ombe kuku, samaki wana shombo
Mkuu Kichwa Kichafu:
Si ndiyo mnapona jamaniHata wakipika spinachi inakuwa ya Uchungu kama qroroquine.