Kumbe tuna case study nzuri kabisa! Hata Hedaru kwetu ninaona inasonga mbele Zaidi ya Mwanga!Halafu watu walikua wanasema jamaa ana maono.
Nakumbuka kipindi Msuya Ni waziri mkuu mji wa Mwanga ulipewa upendeleo wa Khali ya juu. Mwanga kulikua na simu za STD wakati Sumbawanga na Songea ambayo Ni miji ya mikoa kulikua hakuna hiyo huduma (kwa wanangu simu ya STD Ni Ile ambayo unapiga moja kwa moja bila kumuomba operator )
Jengo la NSSF Mwanga lilikua Ni zaidi ya majengo ya mikoa. Lkn Kiko wapi. Mwanga mpaka saa hii Ni Kijiji tu hata stendi hakina.
Hatari sanaHahahahahqh jaman spare my ribs
Hatari sana mkuuHahahahaa hii comment yako imenichekesha sana.jamani...nimwchekaaa...hahahaa kwamba kuna mizigo ilienda chato🤣🤣🤣🤣🤣...Mungu anipe umri mrefu jamanu
Msuya muone vile vile. Ametia watu maumivu sio kidogo.Kumbe tuna case study nzuri kabisa! Hata Hedaru kwetu ninaona inasonga mbele Zaidi ya Mwanga!
Unataka ndege itue kufanya nini sasa hayo majungu kiongozi"Hivi hapa wapi vile? Angekuwepo Siti karibu hapa angenitajia!" ananong'onezwa na kukumbushwa panaitwa Chato - anaitikia kwa nguvu "CHATOOO!"
Eti jamani hivi kuna ndege ambayo ishatua Uwanja wa Kimataifa wa Chato tangu baada ya msiba? Na kama ipo ilipeleka huduma gani?
Inasemakana pia hata wale twiga waliopelekwa kule Hifadhi ya Burigi na baadhi ya wanyama kama hao wengi wao wamekufa kutokana na kutoendena na ikolojia!
Heri umenifumbua macho! Basi hazitatua kiongozi!unataka ndege itue kufanya nini sasa hayo majungu kiongozi
Mbona mimi nipo kwenye wilaya ina uwanja wa ndege na inatua siku moja moja kuleta madawa ya hospitali, mbona hamlalamiki punguzeni unafiki na utundulisu wa kupinga kupinga kila kituHilo liuwanja Lina faida gani kwa nchi na watu wa chato? Acha mawazo mgando kwani ungekuwa mwanza Nani angepinga?
Umepata sifuri. Swali linauliza je kuna ndege yeyote ambayo imetua uwanja wa Kimataifa wa Chato?Mbona mimi nipo kwenye wilaya ina uwanja wa ndege na inatua siku moja moja kuleta madawa ya hospital mbona hamlalamiki punguzeni unafiki na utundulisu wa kupinga kupinga kila kitu
😂😂😂😂Inasemakana pia hata wale twiga waliopelekwa kule Hifadhi ya Burigi na baadhi ya wanyama kama hao wengi wao wamekufa kutokana na kutoendena na ikolojia!
Well, kama kuna bombardier inaenda Dodoma na inaenda Songwe why isichukue na abiria 24 wa Iringa🤷Hizo activities kweli zipo Iringa je vipi ukiangalia na usafiri mbadala wa kwenda Iringa? Yaani Iringa ni kati ya mikoa inayofikika kirahisi kwa usafiri wa barabara kutoka Dar na Dodoma. Kiasi kwamba hata mabasi yanakuwa competitor wa ATCL.
At the end of the day unaangalia Je kuna abiria 24 wa kwenda Iringa ambao ni 40% ya uwezo wa Bombardier watakaokupa break even revenue??
Kinyume cha hapo ATCL itakuwa charity airline
Huo uwanja wa Wilayani kwenu una ukubwa gani? Umejengwa kwa gharama ya sh ngapi? Ukilinganishwa na wa Chato ambayo tangu ipewe wilaya hata miaka 10 bado. Mkuu uwe unajielewa siyo kuunga mkoni kila kitu hata kwenye mambo ya kijinga yanayoligharimu Taifa.Mbona mimi nipo kwenye wilaya ina uwanja wa ndege na inatua siku moja moja kuleta madawa ya hospital mbona hamlalamiki punguzeni unafiki na utundulisu wa kupinga kupinga kila kitu
Air Tanzania inakwenda mara tatu kwa wiki. Leo Jumatatu ndege 5H TCD imekwenda kama flight TC 131 ikielekea Mwanza kupitia Chato na saa saba mchana ilikuwa imetua."Hivi hapa wapi vile? Angekuwepo Siti karibu hapa angenitajia!" ananong'onezwa na kukumbushwa panaitwa Chato - anaitikia kwa nguvu "CHATOOO!"
Eti jamani hivi kuna ndege ambayo ishatua Uwanja wa Kimataifa wa Chato tangu baada ya msiba? Na kama ipo ilipeleka huduma gani?
Inasemakana pia hata wale twiga waliopelekwa kule Hifadhi ya Burigi na baadhi ya wanyama kama hao wengi wao wamekufa kutokana na kutoendena na ikolojia!
Hiyo fuel cost na landing charges za Dodoma -Iringa bado mathematics don't add upWell, kama kuna bombardier inaenda Dodoma na inaenda songwe why isichukue na abiria 24 wa iringa🤷