Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Having uhusianoWith my eyes I witnessed two guys conducting homosexual because of betting
Acha ujinga kuna NBA Tia buku uondike na 50kkubeti ni tamaa ya kutoa kidogo na kupata kingi ndani ya muda mchache imetufanya vijana wengi tuishi kwenye dibwi la kubahatisha na kutaka vya haraka mpaka wengi wetu hudondokea kwenye madhara ya ushoga na liwati.
Jamii inaharibika kwa kuwa betting inadhoofisha akili na vijana wengi hatufanyi planning na kuanalyse mipango ya uchumi ili kuleta tija kwenye taifa hatimae tunadondokea kwenye ulevi mbaya kupindukia.
Ni zipi njia sahihi za kuacha kamari?
labda baada ya kifoUnaacha baada ya kupiga Mabilioni?..
Acha uzembe endeleza libenekehili ni janga lengine la Taifa ukiachana na hesabu,puli na wizi.
Unarudisha mpira kwa kipa kinyonge sana!, umepunwa ngapi?..pambana zirudi.labda baada ya kifo
Kama hujafikia lengo, basi hakuna kuacha. Either wewe ufilisike au umfilisi muhindihili ni janga lengine la Taifa ukiachana na hesabu,puli na wizi.
Vijijini kuna madubu.(ukichimama nchale, ukikaa nchale)Ukiona hivi ujue unakaribia kuacha.
Kwanza kabisa ujue Betting ni njia ya kuutafuta umasikini kwa nguvu nyingi.
Kaa soba ikiwezekaba nenda kajitenge kwa miezi kazaa vijiji vya mbali huko bila kutumia simu.
Kamari ni hatari kama sigara.hili ni janga lengine la Taifa ukiachana na hesabu,puli na wizi.
hatariKama hujafikia lengo, basi hakuna kuacha. Either wewe ufilisike au umfilisi muhindi
puli unaweza kuacha ila kamari ni kisangaKamari ni hatari kama sigara.
Hiyo kuacha labda upate kazi ya kuwa bize muda wote, au upelekwe "Sober House".
poaNi ngumu kuacha ila unaweza fanya jambo ambalo litakufanya usijisikie vibaya unapobet na kupoteza.
Mfano, unaweza kujiwekea kuwa kabla hujabeti pesa yoyote, 50% ya hiyo pesa unamtumia mzazi, au unanunua kitu muhimu au una lipa kadeni fulani, au unaweka sehemu ambayo huwezi ifikia.
Fanya hivyo kwa miezi kadhaa huku ukiendelea kuiongeza hiyo 50% mpaka ifike 70%. Ikifika 70% we endelea kubet hiyo 30% utashangaa tu kuna siku utaona ni ujinga utaacha na hata usipoacha hutajisikia kuwa umepoteza 100% na ile 70% itakuwa imefanya kitu, ikitokea umeshinda jitahidi 100% ya ushindi inaenda ilipoenda 70% sio 30%.
NB: Zile bet unazoshinda jitahidi usibet, fanya kitu kingine kabisa na ukiona unashindwa basi fata mwongozo ule ule wa 70% 30%.
umesarenda mapema vita 🤣hili ni janga lengine la Taifa ukiachana na hesabu,puli na wizi.