dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
kamjumuisha kwenye upuuziMai wako🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kamjumuisha kwenye upuuziMai wako🤣
Hakujua asanehewe😅kamjumuisha kwenye upuuzi
Hata pombe inaharibu vijana kwenye jamii, lakini haijaacha kunywewa na watu wenye busara!kubeti ni tamaa ya kutoa kidogo na kupata kingi ndani ya muda mchache imetufanya vijana wengi tuishi kwenye dibwi la kubahatisha na kutaka vya haraka mpaka wengi wetu hudondokea kwenye madhara ya ushoga na liwati.
Jamii inaharibika kwa kuwa betting inadhoofisha akili na vijana wengi hatufanyi planning na kuanalyse mipango ya uchumi ili kuleta tija kwenye taifa hatimae tunadondokea kwenye ulevi mbaya kupindukia.
Ni zipi njia sahihi za kuacha kamari?
Sishauri hii njia rahisi ya kuikataa betting kwa dhati ni kuwa na simu lakini hufatili masuala ya kubeti.Ukiona hivi ujue unakaribia kuacha.
Kwanza kabisa ujue Betting ni njia ya kuutafuta umasikini kwa nguvu nyingi.
Kaa soba ikiwezekaba nenda kajitenge kwa miezi kazaa vijiji vya mbali huko bila kutumia simu.