Hivi kuna njia yoyote ya kuacha kubet?

Hivi kuna njia yoyote ya kuacha kubet?

Kinachosukuma watanzania kubeti 90% Ni umaskini Yani mtu anatarajia apate kitu kimtoe. Sasa unataka kuacha kubeti je umesha kuwa Tajiri? Kama hujawa bado kutakiwa na kitu Cha kukuvuta huko ujaribu bahati yako,😆
tatizo ni shida hizi zinatusumbua
 
Ni ngumu kuacha ila unaweza fanya jambo ambalo litakufanya usijisikie vibaya unapobet na kupoteza.

Mfano, unaweza kujiwekea kuwa kabla hujabeti pesa yoyote, 50% ya hiyo pesa unamtumia mzazi, au unanunua kitu muhimu au una lipa kadeni fulani, au unaweka sehemu ambayo huwezi ifikia.

Fanya hivyo kwa miezi kadhaa huku ukiendelea kuiongeza hiyo 50% mpaka ifike 70%. Ikifika 70% we endelea kubet hiyo 30% utashangaa tu kuna siku utaona ni ujinga utaacha na hata usipoacha hutajisikia kuwa umepoteza 100% na ile 70% itakuwa imefanya kitu, ikitokea umeshinda jitahidi 100% ya ushindi inaenda ilipoenda 70% sio 30%.

NB: Zile bet unazoshinda jitahidi usibet, fanya kitu kingine kabisa na ukiona unashindwa basi fata mwongozo ule ule wa 70% 30%.
itakua ww ni clone yangu.
umeandika kile nilikua nafanya wakati nacheza kamari.
 
Ni ngumu kuacha ila unaweza fanya jambo ambalo litakufanya usijisikie vibaya unapobet na kupoteza.

Mfano, unaweza kujiwekea kuwa kabla hujabeti pesa yoyote, 50% ya hiyo pesa unamtumia mzazi, au unanunua kitu muhimu au una lipa kadeni fulani, au unaweka sehemu ambayo huwezi ifikia.

Fanya hivyo kwa miezi kadhaa huku ukiendelea kuiongeza hiyo 50% mpaka ifike 70%. Ikifika 70% we endelea kubet hiyo 30% utashangaa tu kuna siku utaona ni ujinga utaacha na hata usipoacha hutajisikia kuwa umepoteza 100% na ile 70% itakuwa imefanya kitu, ikitokea umeshinda jitahidi 100% ya ushindi inaenda ilipoenda 70% sio 30%.

NB: Zile bet unazoshinda jitahidi usibet, fanya kitu kingine kabisa na ukiona unashindwa basi fata mwongozo ule ule wa 70% 30%.
Hii njia ni ngumu kinyama.
 
itakua ww ni clone yangu.
umeandika kile nilikua nafanya wakati nacheza kamari.
Basi wewe ni smart. Mtu smart yoyote akishakuwa mlevi wa kamari au betting hatua ya kwanza ya kuacha ni kukubali kuwa ule ni ulevi na huwezi amua tu kuwa naacha, baada ya hapo lazima atakuja na strategy ya kupunguza madhara ya huo ulevi mpaka siku anauacha kabisa.
 
Hata kilimo ni betting, kusoma hadi chuo ili uajiriwe nayo ni betting,kuhonga pesa ili mwanao aende jkt ili baadae aende jwtz nayo betting
 
Basi wewe ni smart. Mtu smart yoyote akishakuwa mlevi wa kamari au betting hatua ya kwanza ya kuacha ni kukubali kuwa ule ni ulevi na huwezi amua tu kuwa naacha, baada ya hapo lazima atakuja na strategy ya kupunguza madhara ya huo ulevi mpaka siku anauacha kabisa.
nitaiga hii

naona tatizo langu kubwa ni hizi virtue,keno na kindege but soon nitajitahidi
 
Msiache kwanza Hadi na mm niingie niwe nawasaidia kucomment vilio kwenye Uzi wenu🥲😀😀
 
Back
Top Bottom