Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
- Thread starter
-
- #41
tatizo ni shida hizi zinatusumbuaKinachosukuma watanzania kubeti 90% Ni umaskini Yani mtu anatarajia apate kitu kimtoe. Sasa unataka kuacha kubeti je umesha kuwa Tajiri? Kama hujawa bado kutakiwa na kitu Cha kukuvuta huko ujaribu bahati yako,😆
hii itoe plizpuli
kwanini mkuuhii itoe pliz
itakua ww ni clone yangu.Ni ngumu kuacha ila unaweza fanya jambo ambalo litakufanya usijisikie vibaya unapobet na kupoteza.
Mfano, unaweza kujiwekea kuwa kabla hujabeti pesa yoyote, 50% ya hiyo pesa unamtumia mzazi, au unanunua kitu muhimu au una lipa kadeni fulani, au unaweka sehemu ambayo huwezi ifikia.
Fanya hivyo kwa miezi kadhaa huku ukiendelea kuiongeza hiyo 50% mpaka ifike 70%. Ikifika 70% we endelea kubet hiyo 30% utashangaa tu kuna siku utaona ni ujinga utaacha na hata usipoacha hutajisikia kuwa umepoteza 100% na ile 70% itakuwa imefanya kitu, ikitokea umeshinda jitahidi 100% ya ushindi inaenda ilipoenda 70% sio 30%.
NB: Zile bet unazoshinda jitahidi usibet, fanya kitu kingine kabisa na ukiona unashindwa basi fata mwongozo ule ule wa 70% 30%.
njoo ufuate mikeka yangu. ni nidhamu na malengo.tatizo ni shida hizi zinatusumbua
now umeacha?itakua ww ni clone yangu.
umeandika kile nilikua nafanya wakati nacheza kamari.
dhambi kubwa najua ila ndiyo nimeshaingiaBetting ni haramu.
sijaacha ila sina addiction.now umeacha?
ntumie pmnjoo ufuate mikeka yangu. ni nidhamu na malengo.
me ni addicted hasa hizi keno na jackpotsijaacha ila sina addiction.
Hii njia ni ngumu kinyama.Ni ngumu kuacha ila unaweza fanya jambo ambalo litakufanya usijisikie vibaya unapobet na kupoteza.
Mfano, unaweza kujiwekea kuwa kabla hujabeti pesa yoyote, 50% ya hiyo pesa unamtumia mzazi, au unanunua kitu muhimu au una lipa kadeni fulani, au unaweka sehemu ambayo huwezi ifikia.
Fanya hivyo kwa miezi kadhaa huku ukiendelea kuiongeza hiyo 50% mpaka ifike 70%. Ikifika 70% we endelea kubet hiyo 30% utashangaa tu kuna siku utaona ni ujinga utaacha na hata usipoacha hutajisikia kuwa umepoteza 100% na ile 70% itakuwa imefanya kitu, ikitokea umeshinda jitahidi 100% ya ushindi inaenda ilipoenda 70% sio 30%.
NB: Zile bet unazoshinda jitahidi usibet, fanya kitu kingine kabisa na ukiona unashindwa basi fata mwongozo ule ule wa 70% 30%.
Basi wewe ni smart. Mtu smart yoyote akishakuwa mlevi wa kamari au betting hatua ya kwanza ya kuacha ni kukubali kuwa ule ni ulevi na huwezi amua tu kuwa naacha, baada ya hapo lazima atakuja na strategy ya kupunguza madhara ya huo ulevi mpaka siku anauacha kabisa.itakua ww ni clone yangu.
umeandika kile nilikua nafanya wakati nacheza kamari.
ntajaribu lakinHii njia ni ngumu kinyama.
Raisi ni ipi boss?Hii njia ni ngumu kinyama.
nitaiga hiiBasi wewe ni smart. Mtu smart yoyote akishakuwa mlevi wa kamari au betting hatua ya kwanza ya kuacha ni kukubali kuwa ule ni ulevi na huwezi amua tu kuwa naacha, baada ya hapo lazima atakuja na strategy ya kupunguza madhara ya huo ulevi mpaka siku anauacha kabisa.
Mai wako🤣hii itoe pliz