Hivi Kuna Ofisi ya SERIKALI ambayo wanajibu Emails? Au kupokea simu?

Hivi Kuna Ofisi ya SERIKALI ambayo wanajibu Emails? Au kupokea simu?

Simu ndio kabisa hawapokei haswa RITA
 
Malalamiko yamekuwa mengi sana!!!

Kama humu ma-stuff wa sirikali mnapita fanyeni kitu ila hii inachagizwa zaidi na wingi wa wanawake kwenye maofisi ya serikali,penye wafanyakazi 15 10 wakiwa wanaume mambo yataenda shwari ila zikiwepo skirt 8 wanaume 7 lazima hii tabu itokee.

Na inatokana hasa na wanawake kuwa na visirani yaani ugomvi wa kwenye daladala atauhamishia ofisini kutwa nzima kubinua midomo tu kila anaengia anaonekana mbaya!
 
Moja ndio iliniboa.
Napiga simu ambayo wameiandika kwenye tovuti yao anapokea raia na hayuko familiar na hiyo taasisi.
Nakwenda kwenye ofisi zao location waliyoweka mtandaoni ofisi kumbe zilihamishwa kitambo
 
Mh email na zile simu zao tu za mezani mtihanj, kuna tender moja ya umeme wa solar iliwahi kutangazwa shinyanga alafu kupata zile tender document inabidi uwasiliane na namba zao kazi haikua ndogo ilibidi kutuma mtu physicaly maana zile namba sijui hata kama zilikua ni za dunia hii
 
Mh email m BBB li zile simu zao tu za mezani mtihanj, kuna tender moja ya umeme wa solat iliwahi kutangazwa shinyanga alafu kupata zile tender document inabidi uwasiliana na namba zao kazi haikua ndogo ilibidi kutuma mtu physicaly maana zile namba sijui hata kama zilikua ni za dunia hii
Hahaha zitakua za kuzimu
 
Moja ndio iliniboa.
Napiga simu ambayo wameiandika kwenye tovuti yao anapokea raia na hayuko familiar na hiyo taasisi.
Nakwenda kwenye ofisi zao location waliyoweka mtandaoni ofisi kumbe zilihamishwa kitambo
Ukiwa mkali utakutana na kisirani Cha secretary
 
Watajibu kwa lugha gani? Email inahitaji ujue kizungu... Wale wote tia maji tia maji
 
TRA wanajitahidi kujibu.

Binafsi nimejibiwa email na whatsapp zile za Huduma.

Screenshot_20220718-224528_Gmail.jpg



WhatsApp
Screenshot_20220718-224941_WhatsApp.jpg
 
Wazee huko maofisini watu hupuuza tu, hapa nchini always wafanyakazi hasa wa umma huwa hawajali Chochote kile,ukifuata taratibu hupati huduma maana maofisini ni soga,social media,kuwaza mapenzi nk...
 
Muwasamehe tu bure , serikalini mawasiliano ya simu wameachiwa watu wa masijala ambao kwa kweli.. Hizo protocal za mawasiliano ya email na simu bado hawajajua umuhimu wake...

Private sector email na simu ni vitu sensitive sana.. Ila kwa government bado hawajajua umuhimu wake...

Yaani serikalini bado wapo nyuma miaka 20, wao bado wanadhani ili mtu ahudumiwe lazima afike ofisini physically... wakati dunia ipo kidijitali
 
Back
Top Bottom