Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TRATaasisi ya serikali ambayo wanapokea simu ni TANESCO tu.
Nakuona nakuona unavyojitutumuaAhsante sana
HapanaInasikitisha sana sana, yaani unatuma email very important na haitakaa ijibiwe au unapiga simu mara namba hazipo, mara inaunganisha na hakuna anayepokea. Akipokea anajibu nyodo au haipokelewi....
Update.............
Tantrade nimejulishwa kuwa wao Wana mfumo, barua au email ikipokelewa inakua forwarded kwa mhusika, barua zote na communication zote ziko kwenye mfumo wa tracking Kila Mtu anasoma. Hii nimeipenda.