Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
- #61
Tanza-nia ya v-wonderbarua ya karatasi hovyo, call hovyo, kwa Ana hadi ukaze sana, email ndiyo usisime.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanza-nia ya v-wonderbarua ya karatasi hovyo, call hovyo, kwa Ana hadi ukaze sana, email ndiyo usisime.
Hahahaaaahaa hukuamini??Manispaa ya morogoro walijibu email yangu,nilishangaa😂
Sana Sana mm naonaga ukitumia posta kidogo nafuu inakuwepoInasikitisha sana sana, yaani unatuma email very important na haitakaa ijibiwe au unapiga simu mara namba hazipo, mara inaunganisha na hakuna anayepokea. Akipokea anajibu nyodo au haipokelewi....
Shukrani sanaTra wako vizuri
Wcf wako vizuri
TANESCO wako vizuri
Ikulu wako vizuri
Nssf hovyo
Polisi wako vizuri
Fire wako vizuri
Tamisemi hovyo
Takukuru hovyo
Udsm wako vizuri
Muhimbili wako vizuri
Udom hovyo
Sua hovyo
HESLB hovyo
Ttcl hovyo
Atcl wako vizuri
Ewura hovyo
Latra wako vizuri
Subutuuuuu, jaribu uoneSana Sana mm naonaga ukitumia posta kidogo nafuu inakuwepo
Hahahahaaha Kaka Habari za miaka Ndugu YanguUnakikuta kibibi na miwani yake anabofya facebook kwa computer akimaliza anarudi youtube hizo email sidhani hata kama password wanazikumbuka... kuna halmashauri kila siku wanahitaji taarifa za watumishi itakua kukuhudumia kwa email? Hahahaha
Yeah TANESCO wewe mpigie tu Manager kwa Mobile yake, akifanikiwa kupokea basi itasaidia sanaRITA
Hawa ni bure kabisa hada kwenye email.
TANESCO sijui wanajiwekea simu za nini. Ki ukweli TANESCO ukitaka simu yako ijibiwe mpigie meneja kwenye mobile yake halafu ataongea na hao wasukule wakemwenye.
VODACOM Kama una muda subiri.
DSTV shit
DAWASCO angalau
NSSF shit
Ili ukifika waseme faili lako hatulioniMuwasamehe tu bure , serikalini mawasiliano ya simu wameachiwa watu wa masijala ambao kwa kweli.. Hizo protocal za mawasiliano ya email na simu bado hawajajua umuhimu wake...
Private sector email na simu ni vitu sensitive sana.. Ila kwa government bado hawajajua umuhimu wake...
Yaani serikalini bado wapo nyuma miaka 20, wao bado wanadhani ili mtu ahudumiwe lazima afike ofisini physically... wakati dunia ipo kidijitali
Hahahahaahhaa nimecheka kama mjingaUtashangaa hata wale wa TTCL wanauza mabando ya internet, lakini when it comes to emails..!! Hatari
Eeh bwana ni ajabu ilikua,Hahahaaaahaa hukuamini??
Kwaio njia mzuri ni ipiSubutuuuuu, jaribu uone
Nakuunga mkono wanachofanya ni kukiri kupokea email na kuahidi kushughulikia BASI. Utafuatilia wapi?Tanesco
CHACHE SANA ZINA HUO UADILIFUInasikitisha sana sana, yaani unatuma email very important na haitakaa ijibiwe au unapiga simu mara namba hazipo, mara inaunganisha na hakuna anayepokea. Akipokea anajibu nyodo au haipokelewi....
Pole sana Mkuu, I can feel it kabisa. Sometimes Kuna issues za kutatuliwa kwa simu tu au email ila sasa, dahCHACHE SANA ZINA HUO UADILIFU
kuna hawa MCT huduma kwa eateja ndio worst, wameweka namba 3 ila mbili zinaita mpaka zinakata hawapokei, moja anapokea mdada anakusikiliza kama sekunde kumi kisha anakata, nimejaribu kama mara tatu anayepokea ni hiyo huyo na baada ya sekunde kumi anakata bila suluhisho lolote, wameweka email ila ina wki mbili hawajajibu chochote, hizi ofisi za umma zaidi ya kupokea tozo, malipo na fine huduma kwa wateja kwa njia ya mtandao hakuna, unalazimika kufunga safari mpaka ofisini, nyie MCT kama mpo humu jirekebisheni. mnanilazimisha nije makao makuu kutatuliwa shida yangu ambayo inaulizia tu baadhi ya taratibu wakati mna ma contact yote hayo kwenye website
Pole sanaNilishawahi kutuma email Halimashauri ya mji wa Kibaha .. hadi leo hawajajibu email yangu ... nadhani kula aina ya wanaojibiwa email
Ambayo ni Automated System (Auto reply)Nakuunga mkono wanachofanya ni kukiri kupokea email na kuahidi kushughulikia BASI. Utafuatilia wapi?
ofisi ya serikali ukienda siku moja lazima urudi na ya pili... hii ni sheria hata kama jambo lako linawezekana kufanyika siku mojaIli ukifika waseme faili lako hatulioni
Wapo vizuri sana kwenye kupokea simuTaasisi ya serikali ambayo wanapokea simu ni TANESCO tu.
Hahahahahaha nimechekaWapo vizuri sana kwenye kupokea simu