royal tourtz
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 255
- 326
Duh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi Bado hapo hapo kibaha halmashauriShida yako ushaipatia ufumbuzi?
Kama upo karibu wafuate ofisiniMimi Bado hapo hapo kibaha halmashauri
Unakikuta kibibi na miwani yake anabofya facebook kwa computer akimaliza anarudi youtube hizo email sidhani hata kama password wanazikumbuka... kuna halmashauri kila siku wanahitaji taarifa za watumishi itakua kukuhudumia kwa email? HahahahaInasikitisha sana sana, yaani unatuma email very important na haitakaa ijibiwe au unapiga simu mara namba hazipo, mara inaunganisha na hakuna anayepokea. Akipokea anajibu nyodo au haipokelewi....
Siyo lazima email iandikwe "kizungu" hata kimakonde tuWatajibu kwa lugha gani? Email inahitaji ujue kizungu... Wale wote tia maji tia maji
Inaweza kupokelewa na bado mpokeaji akakushangaaInasikitisha sana sana, yaani unatuma email very important na haitakaa ijibiwe au unapiga simu mara namba hazipo, mara inaunganisha na hakuna anayepokea. Akipokea anajibu nyodo au haipokelewi....
ZitajeZipo taasisi kadhaa za serikali ziko vizuri tu kwenye kujibu emails na simu.
Ila suala hili ni vyeme liwekewe mkazo sana tu.
HakunaInasikitisha sana sana, yaani unatuma email very important na haitakaa ijibiwe au unapiga simu mara namba hazipo, mara inaunganisha na hakuna anayepokea. Akipokea anajibu nyodo au haipokelewi....
Kwa mda wao wanaweza kujibu au wasijibu.Tanesco
Nipo mbali mkoaKama upo karibu wafuate ofisini
Ndo Tanzania yetu😏Inasikitisha sana sana, yaani unatuma email very important na haitakaa ijibiwe au unapiga simu mara namba hazipo, mara inaunganisha na hakuna anayepokea. Akipokea anajibu nyodo au haipokelewi....
Wanajibu ila kwa kujiskia Sana.Jambo kama sio official na mtu anataka ufafanuzi yaani hadi waje wakujibu ni shida..Inasikitisha sana sana, yaani unatuma email very important na haitakaa ijibiwe au unapiga simu mara namba hazipo, mara inaunganisha na hakuna anayepokea. Akipokea anajibu nyodo au haipokelewi....
Ukute umepiga sasa karibia na Lunch time au Ile saa nane na nusu au tisa....Wanajibu ila kwa kujiskia Sana.Jambo kama sio official na mtu anataka ufafanuzi yaani hadi waje wakujibu ni shida..
Ukiwapigia simu huwa wanakuwa wakali yaani hawajiamini wanajihami kwa majibu ya shortcut na kukatisha tamaa..
Sababu kubwa Wana mentality hasi na pia wengi wao ni vilaza.
Hahaaaaaaa dadeeeeki hio LAZIMA WajibuWakati natafuta tin number ya leseni.TRA nilikuwa nachat nao na email.
Ya simzigopumbu@gmail.com
Na walikuwa wanajibu fresh