Hao wananchi walikuwa wanaomba uongozi uondoke Kwa namna yoyote Ile ila baada ya Dua zao kukubaliwa na muumba min kilitokea...Paragraph ya mwisho sijaielewa hta kidogi
Hiki kifungu cha mwisho, kinahusiana vipi na uwepo wa watu weusi katika hizi nchi?Maana siamini km hakuna watu weusi katika NCHI hizo km hawajaolewa au kuoa na wenyeji wa hizi nchi..
huwa wanaishia wapi?
Pia naamini wapo watu weusi wamezaliwa hizi nchi MIAKA na MIAKA na hawahi kuishi nchi nyingine kuishi zaidi ya hizi, Hawa nao huishia wapi?
yasije tokea Yale ya kushangalia mwanzo na baadae kuja kujutia..
tunayo mifano hai KATIKA vipnd flan mfano wananchi WA Iraq Kwa rais wao ,WA Libya Kwa rais wao na WA Tz Kwa rais(baada ya Dua zao kupokelewa na kilio ndio kikazidi)
Urusi na China hawataki nuksiMaana siamini km hakuna watu weusi katika NCHI hizo km hawajaolewa au kuoa na wenyeji wa hizi nchi..
huwa wanaishia wapi?
Pia naamini wapo watu weusi wamezaliwa hizi nchi MIAKA na MIAKA na hawahi kuishi nchi nyingine kuishi zaidi ya hizi, Hawa nao huishia wapi?
yasije tokea Yale ya kushangalia mwanzo na baadae kuja kujutia..
tunayo mifano hai KATIKA vipnd flan mfano wananchi WA Iraq Kwa rais wao ,WA Libya Kwa rais wao na WA Tz Kwa rais(baada ya Dua zao kupokelewa na kilio ndio kikazidi)
Hongera yakeWapo na wengine walikuwa ni viongozi tatizo kubwa ni ubaguzi.
View attachment 2576171
Mfano huyu hapa chini alikuwa
Diwani chinini urusi Jean Gregoire Sagbo, huyu jamaa ndiye alikuwa mtu wa kwanza mweusi kuchaguliwa kwenye afisi ya umma katika historia ya Urusi.
Mbona Saud Arabia hujataja?Maana siamini km hakuna watu weusi katika NCHI hizo km hawajaolewa au kuoa na wenyeji wa hizi nchi..
huwa wanaishia wapi?
Pia naamini wapo watu weusi wamezaliwa hizi nchi MIAKA na MIAKA na hawahi kuishi nchi nyingine kuishi zaidi ya hizi, Hawa nao huishia wapi?
yasije tokea Yale ya kushangalia mwanzo na baadae kuja kujutia..
tunayo mifano hai KATIKA vipnd flan mfano wananchi WA Iraq Kwa rais wao ,WA Libya Kwa rais wao na WA Tz Kwa rais(baada ya Dua zao kupokelewa na kilio ndio kikazidi)
Nao hawataki nuksi