Hivi kuna siri gani kati ya mtoto wa pili kuzaliwa na kufanikiwa kimaisha?

Hivi kuna siri gani kati ya mtoto wa pili kuzaliwa na kufanikiwa kimaisha?

Tafuta mafundisho ya Mwal Christopher Mwakasege utaelewa vzuri zaidi.
 
Hii si kweli, kama kila aliyefanikiwa akisaidia wenzake wote mnafanikiwa.
 
Watoto wa pili hawapewi pressure ya maisha, yani katika ukuaji wake haangaliwi sana anaangaliwa wa Kwanza.
Kwahiyo anapata muda na nguvu ya kujaribu fursa nyingi.
Tofauti na yule wa kwanza anayeaminishwa kwamba yeye ndo kichwa anaanza kujiona kafanikiwa kimaisha.

Mtoto wa pili anajua kabisa mimi ni fara lazima nipambane ili niwe na nguvu
 
Jamani naomba kuuliza hili jambo lina ukweli wowote wa mafanikio kimaisha kati ya mtoto wa pili na wengine?

Maana kwa asilimia kubwa wanaofanikiwa kwa asilimia nyingi ni watoto wa pili kuzaliwa. Nimechunguza familia karibu tatu na ya nne ni yangu mimi yaani wa pili kuzaliwa ndio katoboa kimaisha tulio baki tunasindikiza.

Katika biblia pia Jacobo alikuwa wa pili kuzaliwa, Joe, Bill Clinton, hao wote ni wapili kuzaliwa katika familia zao.

Mwenye uelewa aje na facts tafadhali.
KRISTO YESU alikuwa wa kwanza kuzaliwa imeandikwa kila mzaliwa wa kwanza ataitwa "Mtakatifu kwa Bwaba" usitafute kichaka🤣😅😆
 
Back
Top Bottom