Hivi kuna siri gani kwenye tendo la ndoa dhidi ya wanawake? Mbona wamezidisha sana kuwaanika wenza wao?

Mwanamke hachepuki kwa sababu ya tamaa,..mwanamke akichepuka tambua kisha hamisha upendo wote kwa huyo jamaa,hata akiambiwa akuwekee sumu yuko tayari...kuna unatafiti mmoja ulifanyika ukaonyesha kua,97% Mwanamke akichepuka anaweza muua mumewe kama ataambiwa afanye hivyo na mchepuko wake ili wafurahie penz Lao...kwa hiyo Mwanamke wako akichepuka achana nae haraka sana...mwanaume anachepuka sababu ya tamaa na huwez kuta anatoa siri za ndani za mkewe wala hawez punguza upendo lwa mkewe.
 
Pitia chupa kubwa la K Vant kwa Mangi nitakuja nalipa
 
Nyinyi ndio mnafanya ndoa ziwe ngumu kwa wengine, Eti hakuna mke wa mtu ambae hagawi nje

Sasa kwa wanaume vichwa panzi ambao wanaweka kichwani kila wanachokisoma tayari ashaanza kujenga chuki kwa mke wake aliye nyumbani, Kama ndoa ilikua na furaha tayari vita inaanzia hapa..

MASHOGA siku hizi wanatamani kusiwe na ndoa kabisa ila wapate watu wengi wa kuwabomoa, Mnaharibu amani kwenye ndoa za watu PUMBAVU.
 
daaaaah hata Mimi imenifikilisha eti hakuna mke asie gawa nje,
daaaaah sijui huyo ametumia kipimo gani
 
daaaaah hata Mimi imenifikilisha eti hakuna mke asie gawa nje,
daaaaah sijui huyo ametumia kipimo gani
Tahira hili,

Naona kuna campaign za ajabu siku hizi humu, Mara kataa ndoa..

Naona wamefika mbali kuanza kuongea upuuzi kama huu, Ukimuuliza hizo data alitoa wapi hana majibu,

Hata tukimuuliza ina maana mama yake analiwa na watu wengine tofauti na baba yake hawezi kutujibu
 
Aah Aah! Wew ushaambiwa kuwa hakuna mwanamke asiyeliwa nje ya ndoa, we hapo unanyumbulisha nini. We chukua sentensi kama ilivyo, uitumie kama ilivyo. Mambo ya kuweka mambo ya Mama, huo ni ushamba

Hakuna mwanamke asiyeliwa nje ya ndoa yake. Tested and Proved

Kama yupo niwekee namba zake hapa ma mkoa atokao, nitengeneze connection, tukutumie video
 
Mimi na wewe unadhani nani ni mshamba,, Mwanamke wako aliwe unakuja kujumuisha wote wanaliwa kama sio ushamba ni nini,,

Kuhusu mama yako umesema hakuna mwanamke asiyeliwa nje ya ndoa, Au mama yako sio mwanamke ??

Anyways Mimi sijaoa,,

Nkupe number ya demu wa Nahreel yule msanii umtongoze ?, utuletee hizo video hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…