Hivi kuna siri gani kwenye tendo la ndoa dhidi ya wanawake? Mbona wamezidisha sana kuwaanika wenza wao?

Hilo si kweli,ati hakuna mke wa mtu asiyekanyagwa nje!!,mbona wapo wasokanyagwa,we usichanganye wote katika kapu moja, Kama ilishakutokea wewe,ni wewe!!,kumbuka malezi,tabia na mazingira watokako ni tofauti kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…