Hivi kuna ubaya mtu akiwa single

Hivi kuna ubaya mtu akiwa single

Kama waweza vumilia kuishi bila mpenz Wala nyeto... it's okay
Nakubaliana na hoja yako.
Ila namlekebisha mleta mada kuwa hakuna ukweli kuwa,''nguvu ya asili ipo kwa ajiri ya kukutumikia...'' bali nguvu ya asili ipo ikisubiri nguvu yako ili kwa ujumla wake ilete uhai kwako''
kwa ufupi
bila jasho lako hakuna maisha
 
Hakuna shida yoyote katika kuishi ilimradi tu hauvunji sheria za nchi. Waafrika wengi tunamitazamo mingi hasi hali inayopelekea kuwafanya watu kuwa na msongo wa mawazo na kuishia kufanya mambo yasiyostahili.

Tofauti na wenzetu rangi nyeupe ambapo furaha ya kwanza ni wao kufurahi na si jamii au watu watanichukuliaje. Furaha ya kweli inatoka ndani ya mioyo yetu na si ile ambayo utafanya kuwafurahisha watu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu, nimeona niulize swali hili baada ya kuona Jamii imekuwa na shutuma Sana kuhusu mahusiano au ndoa.

Iwe kwa kijana wa kiume au wa kike, je hakuna nafasi ya free will Kama mwanadamu🤔
👉Ni lazima wote twende na trend hiyo iliyopo??,
👉 Usinambie kupendwa, je wewe huwezi jithamini Kama mwanadamu??

Sheria ya asili(nature) inasema nguvu ya asili ipo hapo kukutumikia-
👉Pale unapo jihisi Maumivu, ita kutafutia mtu au kitu Cha kukufariji.
👉Na hivyo hivyo kinyume chake, nguvu hiyo inapoona Sasa mtu huyu kafarijika- basi huondoa sababu hiyoo.

Sasa jamani tusi hamasishane Sana katika Jambo hiloo, mtu akiona inafaa kwa nafasi yake Basi Ni sawa.


Note: sijasema watu wasipendane, au kutokuwa kuoana.
👉Wala SI support Jambo lolote hasi.
👉 I mean no malice to nobody
View attachment 2667559
Screenshot_20230228-155351_2.jpg
 
Kwakweli kuishi mwenyewe pia nafikiria sanaa naona kwangu ni maisha ambayo ntayafirahia...nataman iwe ivi...bado najitafuta siku nikijipata nadhan ntaishi ivi...Namuomba Mungu anisaidie [emoji120]
Ukweli usemwe tu,ikiwa wewe ni kiumbe hai uliyekamilika,i.e,una zile 7 characteristics of living things lazima uwe na matamanio,na hii ni kwa wote,wanaume na wanawake.

So kuwa single for ever ni ngumu sana,tusidanganyane,kila sifa ya kiumbe hai lazima ifanye kazi sawa sawa na hizi zingine.Hii ni kibiologia zaidi.

NB: kama umejipima na ukajua kuwa una uwezo wa kuishi single do it,ni Bora kuwa single kuliko kuwa na mtu anayekusumbua kila mara
 
Habari wakuu, nimeona niulize swali hili baada ya kuona Jamii imekuwa na shutuma Sana kuhusu mahusiano au ndoa.

Iwe kwa kijana wa kiume au wa kike, je hakuna nafasi ya free will Kama mwanadamu🤔
👉Ni lazima wote twende na trend hiyo iliyopo??,
👉 Usinambie kupendwa, je wewe huwezi jithamini Kama mwanadamu??

Sheria ya asili(nature) inasema nguvu ya asili ipo hapo kukutumikia-
👉Pale unapo jihisi Maumivu, ita kutafutia mtu au kitu Cha kukufariji.
👉Na hivyo hivyo kinyume chake, nguvu hiyo inapoona Sasa mtu huyu kafarijika- basi huondoa sababu hiyoo.

Sasa jamani tusi hamasishane Sana katika Jambo hiloo, mtu akiona inafaa kwa nafasi yake Basi Ni sawa.


Note: sijasema watu wasipendane, au kutokuwa kuoana.
👉Wala SI support Jambo lolote hasi.
👉 I mean no malice to nobody
View attachment 2667559
Jipige kifua useme mimi ni kenge
 
Back
Top Bottom