Hivi Kuna uhusiano gani Kati ya uislamu na usafi hasa kwa wanawake waislam

Hivi Kuna uhusiano gani Kati ya uislamu na usafi hasa kwa wanawake waislam

Moja ya amri na agizo kuu katika Uislam NJ Usafi. Hasa usafi WA Kimwili.
Uislam na torati ni usafi/utakatifu.

Ukristo hauna uhusiano wowote na utakatifu/Usafi
Ulishaendaga nchi za ulaya ukaona walivyo wasafi kimazingira nchi kama switzerland, canada na scandnavia ni wasafi sana na huko ndo ukristo ulipoanzia ukienda kwenye hizi nchi utajiuliza hawa ni sawa na sis kweli wako organized sana

Ulishakaaga na wapemba au warabu ukaona walivyokua wachafu hawatamaniki
 
Aulize ili afahamishwe ujinga! Tangu lini usafi wa mwili ukahusishwa na dini ya mtu?

Nyinyi ndiyo maana mara zote kwenye zile shule zenu, huwa mnakuwa wa mwisho. Maana inavyo onekana huwa mnafundishwa mambo mengi ya kijinga, kuliko yale ya msingi.
Umeongea ukweli ustaarabu au usafi hauna uhusiano na dini
ustaarabu wa jamiihusika unatokana na elimu kwa asilimia kubwa
 
Kwangu mimi, uko mwingi upande ule ambao 'unapwakuka' kabisaaa! I mean umejaa hadi unamwagikia ibadani
Wako wengi huko dini ya kujilipua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jibu simple bila unafiki ni kwa sababu Uislamu ni dini yenye ushirikiano wa moja kwa moja na majini na siku zote majini hayataki uchafu na wanawake uliowataja ni wake wa binadamu na majini pia.
Kwahiyo wanawake wa dini nyingin wanakuwa wachafu sababu hawa shirikiani na majini??[emoji1787][emoji1787]
 
Usafi ni jadi ya uislamu, nadhani na wasabato pia hufunzwa usafi sana
 
Shida watu wa bara nikuiga umagharibi sana na ukumbuke mfano toilet paper mzungu akiingia nayo chooni ndio anajisafishia imeisha hiyo, ilhali muislamu akiingia na toilet paper chooni kwanza anaanza kutumia maji, halafu toilet paper ndio hupangusa kuondoa unyevu na hatari ya kupata fungus, lakini pia mtu katoka chooni, katawaza hanawi na sabuni au ananawa kwa kupata sabuni mara moja wakati inatakiwa upake sabuni unawe, urudie tena upake sabuni unawe, halafu ndio usuuze mikono yako na maji ya kutosha,
 
Wengine akimaliza shughuli anapitisha gunzi au makaratasi huyu mtu hawezi kua msafi kamwe
 
Jibu simple bila unafiki ni kwa sababu Uislamu ni dini yenye ushirikiano wa moja kwa moja na majini na siku zote majini hayataki uchafu na wanawake uliowataja ni wake wa binadamu na majini pia.
Utazidi kuuchafua lakini uislamu wenyewe unajieleza , hutoweza na hii si mara ya kwanza kwa uislamu kuongolewa vizuri na wasio waislamu kwa kuona na kuuthibitisha ukweli
 
Mtu anajisaidia iwe ndogo kubwa hagusi maji anaiga wazungu tishu tu imetoka joto kidogo harufu kama yote haha,afu ndio awe msafi hapo muwe mnachamba dada zetu!
 
Shida watu wa bara nikuiga umagharibi sana na ukumbuke mfano toilet paper mzungu akiingia nayo chooni ndio anajisafishia imeisha hiyo, ilhali muislamu akiingia na toilet paper chooni kwanza anaanza kutumia maji, halafu toilet paper ndio hupangusa kuondoa unyevu na hatari ya kupata fungus, lakini pia mtu katoka chooni, katawaza hanawi na sabuni au ananawa kwa kupata sabuni mara moja wakati inatakiwa upake sabuni unawe, urudie tena upake sabuni unawe, halafu ndio usuuze mikono yako na maji ya kutosha,
Ila cha ajabu nchi zinazoongoza kwa usafi zipo ulaya na sio uarabuni
 
Hapo nyinyi mnashindwa kuelewana ndio maana kila mtu atavutia upande wake.
Hapo mimi nilichoelewa ni kwamba;
Kwa upande wa uislam;
Hapo wanaongelewa wale wanawake waislamu ambao wanaishi kwa kufuata misingi na sheria ya dini yao ya kiislamu (waumini), na sio wanawake wale wanaoitwa waislamu kwa majina tu.
Kwa upande wa ukristo;
Hapo pia wanaongelewa wanawake wakristo wale wanaofuata misingi ya dini ya kikristo na sheria zake.(waumini)
Sasa makundi yote mawili haya ukiwaweka pamoja katika mazingira wezeshi yaani maji sio shida, pesa ipo na muda pia upo utaona utofauti wao katika suala zima la usafi.
Mimi nitatoa shuhuda kwa nilichoona kwa macho yangu.
Kwenda haja
Huwezi kumkuta bint (muumin) wa kiislam akienda msalani bila maji, haijalishi ni haja kubwa au ndogo. Kwa mafundisho ya dini ya kiislam kinyesi, na mkojo ni najisi.
Wanawake wa kikristo mara nyingi hutumia maji kwaajili ya haja kubwa tu, kama itatokea ametumia maji kwa haja ndogo basi atakuwa ana dharula nyingine lakini sio atumie maji kwasababu kaenda kukojoa, na (asilimia kubwa hawa ndio wanaambukiza U.T.I kwasababu ya kutojisafisha njia ya mkojo inapotumika)
Kuvaa Mawigi na Kufuga Rasta
Bint wa kiislam huwezi mkuta kafuga Rasta au kaweka Wigi kichwani hayo yote ni haramu kwa mujibu wa dini, tena huruhusiwi kuswali au kuingia msikitini kama umeweka hayo madudu kwenye kichwa chako.
Bint wa kikristo ni kawaida kusuka Rasta na kuweka Wigi hata ukienda makanisani utawakuta wamevaa.
Rasta na Wigi husababisha uchafu kichwani na nywele kutoa harufu mbaya.
Kucha za Bandia
Haramu kwa muislam kuweka makucha ya bandia, ila kwa upande wa pili sijajua na sina uhakika sana kama biblia imekataza kuweka makucha ya bandia.
Hivi kwamfano ukimaliza kujisaidia haja kubwa unajisafisha vipi? Au ndio mnatumia paper kama akina Smith kule magharibi ya mbali! Kucha bandia huficha uchafu
Usafi katika nyumba za ibada/sehemu yakufanyia ibada.
Sehemu ya kufanyia ibada kwa mkristo hata ukivaa viatu ambavyo umekanyagia kinyesi ni sawa na hata kuingia navyo kanisani ruksa achilia mbali mavazi.
Msikitini huwezi kumkuta mtu anaingia na viatu lazima avue, anawe (kutia udhu) ndio aingie msikitini. Hata nyumbani pia lazima avue viatu atie udhu (kunawa) atandike mswala (mkeka mdogo wa kuswalia) ndio afanye ibada.

Al Islam Nadhif
 
Naweza sema kitu hapa nikasomewa albadiri😂😂😂😂 ila vipi ile sera yenu ya ukichamba lazima ujitie kidole nusu ili uweze kuchokoa mavi yaliobaki nao huo ni usafi eehh😂😂😂
 
Hapo nyinyi mnashindwa kuelewana ndio maana kila mtu atavutia upande wake.
Hapo mimi nilichoelewa ni kwamba;
Kwa upande wa uislam;
Hapo wanaongelewa wale wanawake waislamu ambao wanaishi kwa kufuata misingi na sheria ya dini yao ya kiislamu (waumini), na sio wanawake wale wanaoitwa waislamu kwa majina tu.
Kwa upande wa ukristo;
Hapo pia wanaongelewa wanawake wakristo wale wanaofuata misingi ya dini ya kikristo na sheria zake.(waumini)
Sasa makundi yote mawili haya ukiwaweka pamoja katika mazingira wezeshi yaani maji sio shida, pesa ipo na muda pia upo utaona utofauti wao katika suala zima la usafi.
Mimi nitatoa shuhuda kwa nilichoona kwa macho yangu.
Kwenda haja
Huwezi kumkuta bint (muumin) wa kiislam akienda msalani bila maji, haijalishi ni haja kubwa au ndogo. Kwa mafundisho ya dini ya kiislam kinyesi, na mkojo ni najisi.
Wanawake wa kikristo mara nyingi hutumia maji kwaajili ya haja kubwa tu, kama itatokea ametumia maji kwa haja ndogo basi atakuwa ana dharula nyingine lakini sio atumie maji kwasababu kaenda kukojoa, na (asilimia kubwa hawa ndio wanaambukiza U.T.I kwasababu ya kutojisafisha njia ya mkojo inapotumika)
Kuvaa Mawigi na Kufuga Rasta
Bint wa kiislam huwezi mkuta kafuga Rasta au kaweka Wigi kichwani hayo yote ni haramu kwa mujibu wa dini, tena huruhusiwi kuswali au kuingia msikitini kama umeweka hayo madudu kwenye kichwa chako.
Bint wa kikristo ni kawaida kusuka Rasta na kuweka Wigi hata ukienda makanisani utawakuta wamevaa.
Rasta na Wigi husababisha uchafu kichwani na nywele kutoa harufu mbaya.
Kucha za Bandia
Haramu kwa muislam kuweka makucha ya bandia, ila kwa upande wa pili sijajua na sina uhakika sana kama biblia imekataza kuweka makucha ya bandia.
Hivi kwamfano ukimaliza kujisaidia haja kubwa unajisafisha vipi? Au ndio mnatumia paper kama akina Smith kule magharibi ya mbali! Kucha bandia huficha uchafu
Usafi katika nyumba za ibada/sehemu yakufanyia ibada.
Sehemu ya kufanyia ibada kwa mkristo hata ukivaa viatu ambavyo umekanyagia kinyesi ni sawa na hata kuingia navyo kanisani ruksa achilia mbali mavazi.
Msikitini huwezi kumkuta mtu anaingia na viatu lazima avue, anawe (kutia udhu) ndio aingie msikitini. Hata nyumbani pia lazima avue viatu atie udhu (kunawa) atandike mswala (mkeka mdogo wa kuswalia) ndio afanye ibada.

Al Islam Nadhif
Ukiona mwanamke anaenda toi
Bila maji hana akili maana wanafundishwa toka utotoni sio muislamu sio mkristo
 
Hello JF,

👇👇👇

Mara nyingi kama sio mara zote mwanamke wa kiislamu ni msafi zaidi kuliko hawa wa dini zetu za magharibi, haswaa mifano hii ni kwa wanawake ambao hawana tabia mbaya kam ufuska ama uzinzi, usherati na ulevi.
Mazingira wezeshi yawe sawa hawa wote wapatikane mazingira ambayo maji sio tatizo, pesa sio tatizo na muda upo.
Hii ni perspective na experience yangu

Wadiz
Hawana kazi za kufanya sasa mtu anashida nyumbani kwann asioge mara 20 hawa wengine ni mishe mishe sana kuzisakanya sio biashara ajira na kadhalika...waache tu wanapambana
 
Hello JF,

[emoji116][emoji116][emoji116]

Mara nyingi kama sio mara zote mwanamke wa kiislamu ni msafi zaidi kuliko hawa wa dini zetu za magharibi, haswaa mifano hii ni kwa wanawake ambao hawana tabia mbaya kam ufuska ama uzinzi, usherati na ulevi.
Mazingira wezeshi yawe sawa hawa wote wapatikane mazingira ambayo maji sio tatizo, pesa sio tatizo na muda upo.
Hii ni perspective na experience yangu

Wadiz
Propaganda ya kijinga sana hii.Tunyamaze au tukisanue?.
 
Hello JF,

👇👇👇

Mara nyingi kama sio mara zote mwanamke wa kiislamu ni msafi zaidi kuliko hawa wa dini zetu za magharibi, haswaa mifano hii ni kwa wanawake ambao hawana tabia mbaya kam ufuska ama uzinzi, usherati na ulevi.
Mazingira wezeshi yawe sawa hawa wote wapatikane mazingira ambayo maji sio tatizo, pesa sio tatizo na muda upo.
Hii ni perspective na experience yangu

Wadiz
usafi wa nini na umejuaje...bila shaka wewe ni bingwa wa ufunuaji
 
Back
Top Bottom