KIDUME20
JF-Expert Member
- Mar 10, 2023
- 1,951
- 4,540
Ukweli mchungu huuu ukweli mcungu huuHello JF,
👇👇👇
Mara nyingi kama sio mara zote mwanamke wa kiislamu ni msafi zaidi kuliko hawa wa dini zetu za magharibi, haswaa mifano hii ni kwa wanawake ambao hawana tabia mbaya kam ufuska ama uzinzi, usherati na ulevi.
Mazingira wezeshi yawe sawa hawa wote wapatikane mazingira ambayo maji sio tatizo, pesa sio tatizo na muda upo.
Hii ni perspective na experience yangu
Wadiz