Hivi Kuna uhusiano gani Kati ya uislamu na usafi hasa kwa wanawake waislam

Hivi Kuna uhusiano gani Kati ya uislamu na usafi hasa kwa wanawake waislam

Kuna wakristo wengine wanaingia nyumba za ibada wakiwa na hangover
Wengine ukiwacheck miguu jinsi ilivo na vumbi kama wamekesha wanatembea
Inawezekana kweli ikawa walikesha wakitembea, je hawana haki ya kwenda kwenye ibada?
 
Hizi mada ni za kipuuzi. Na hivyo hamtakiwi kuzipa kipaumbele.

Usafi ni tabia ya mtu. Na hukua nayo tangu utotoni. Hivyo hii nadharia yako haina mashiko.

Juzi kati kuna mwenzako naye alikuja na mada ya watoto wa kiislam wana fanya nini sijui kuliko watoto wa kikristo!

Hivi mna shida gani nyinyi viumbe? Kwa nini baadhi yenu huwa mnajiona ni bora sana pamoja na hiyo imani yenu? Na kama mnajiona ni bora sana kuliko wengine, kwa nini msinyamaze kimya? Kuna ulazima wowote ule wa kutaka kujilinganisha kila siku?

Au umefuturu, na kushiba! Sasa akili inakutuma kuandika mambo ya kipuuzi tu! Acheni mambo yenu bhana.
Sasa hapo ni kipi kilicho kukasirisha mpaka unatoa povu lote hilo?
Basi nenda kajinyonge ili tujue kweli umekasirika.
 
Jibu simple bila unafiki ni kwa sababu Uislamu ni dini yenye ushirikiano wa moja kwa moja na majini na siku zote majini hayataki uchafu na wanawake uliowataja ni wake wa binadamu na majini pia.
[emoji23][emoji23]
 
Niliongea kitu kama hiki wiki iliyopita..baadhi ya wakuu wakajaa juu wakihisi nazungumzia mambo ya udini sijui...
Nafikiri hii issue ya usafi ni utamaduni wao..hata watoto wao wako ivo
 
Hello JF,

👇👇👇

Mara nyingi kama sio mara zote mwanamke wa kiislamu ni msafi zaidi kuliko hawa wa dini zetu za magharibi, haswaa mifano hii ni kwa wanawake ambao hawana tabia mbaya kam ufuska ama uzinzi, usherati na ulevi.
Mazingira wezeshi yawe sawa hawa wote wapatikane mazingira ambayo maji sio tatizo, pesa sio tatizo na muda upo.
Hii ni perspective na experience yangu

Wadiz
Usafi upi?
 
kama hujui kitu ni bora ukauliza
Hongera kwa povu ila haibatilishi ukweli kuwa katika dini yako wewe unachukuliwa kama chombo cha starehe ya mwanaume na majini na bikra yako ndiyo zawadi yao huko peponi tena moja haitoshi itabidi watunukiwe saba.

Na hata kwenye mambo yao hawakuusishi unatakiwa kukaa nyuma yao hadi msikitini kwa kuwa wewe ni kama mifugo au mali ya mwanaume na hayo majini yanayokaa ndani yako yanahati miliki hata yakileta fujo yanapatanishwa au kubembelezwa yatulie kwa kusomewa aya kadhaa,

Na wewe mshahara wako ni kutumikishwa kama punda na huo unaouita usafi na kujifukiza mamoshi na manukato yanayowavutia viumbe husika plus kujisitiri usije kutamaniwa na wanaume wenye mwili.

Na mumeo nae anajini au majini yake yanayomtawala na akibobea vyema kwenye imani ni ngumu sana kumtofautisha sheikh na mshirikina au agent wa majini mtaani.
Screenshot_20230330-123526~2.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ajabu ndoa za kufirana zinafungwa makanisani
Siku zote pachafu tiyari (msikitini au temple zinazomuungamia devil) hapawezi kuchafuliwa bali patakatifu ndipo panapowaniwa,

Dunia nzima ya leo haijalishi mafundisho na matendo yao yapoje yawe ni ya kipagani, vyama vya siri au mafundisho ya uongo lengo ni kutokomeza ukristo mazima maana ndiyo kikwazo kilichobakia katika kusimika rasmi utawala wa kishetani.
 
Wewe majini uliwai kuyaona?kwatakifa yako mwanamke yoyote mvaa kimini suruali tisheti makwapa wazi muda wote makucha bandia wanawake wanamna hii wote wanayo majini mahaba utake ndio hivio ukatae ndio hivio
Kwa tafsiri yako wazungu wote wana majini kwa kuwa hizo ni tamaduni zao ambazo sisi tumeiga kama ambavyo nanyi mmekaririshwa tamaduni za kiarabu ambazo hamjui hata chanzo chake ni nini mnasukumwa mnakwenda tu kama mang'ombe nyambaff!
 
U
a cha ajabu nchi zinazoongoza kwa usafi zipo ulaya na sio uarabuni
Usihadaike na suti,wale wazungu Wanatembea na dengu makalio I,madem mbunye harufu
 
Mwili wako mwanamke wa kiislamu ni hekalu au temple ya kijini, ndiyo maana wapaswa kujiweka wakfu kwa kujifukiza udi na uturi, kujitanda muda wote (kwa kuwa majini ni viumbe wenye wivu sana) na pia usafi ni kwa ajili ya kuwahudumia au kuwafurahisha wao zaidi ya mmeo wa kifizikia.
Ok
 
Jibu simple bila unafiki ni kwa sababu Uislamu ni dini yenye ushirikiano wa moja kwa moja na majini na siku zote majini hayataki uchafu na wanawake uliowataja ni wake wa binadamu na majini pia.
😂😂😂 Simple like that??
 
Al islam nadhif. Uislamu ni usafi, wa moyo na mwili. Niliacha kuswali swala5 kwa sababu nilishindwa masharti.
Usijidondoshee hata tone la mkojo, itabidi uvue hizo nguo uvae zingine. Usigusane na mwanamke usitokwe na ute wowote, usijambe hovyo hovyo unapoteza udhu wako.
Msikitini kuna mabafu ya huoga na watu huoga habla ta sala iwapo umechafuka. Huwezi tenda yote hayo ukawa mchafu.
Mazingira yangu yakawa hayasapoti nokaacha sala tano, nina deni kubwa sana.
Al Islam nadhf!
Kujamba is a natural thing, kama mna amini aliyekuumba kakuumba perfect, kwanini kujamba iwe issue mpaka upoteze udhu? hii haijakaa sawa, hata hiyo ya usigusane na mwanamke ni ngumu kuamini, inaonekana ni wivu wa kiume tuu
 
Kuna huu Uzi pia

 
Chiki yako iwezi kubadilisha ukweli mleta mada kaongelea wanawake maalumu wa kiisilamu ni kweli ni wasafi kuanzia miili yao mpaka mazingira,wanawake wengi wakikiristo usafi wao ni kuvaa wigi vimini mikucha ya bandia kujipulizia pafiumu wengi wao awatumii maji baada ya kujisaidia haja ndogo haja kubwa wanatumia karatasi tishu unapinga fatilia utaona mwanamke anamikucha kama kunguru awezi kuchamba baada ya haja kubwa hata akichamba mikucha itabakia na mavi kwa ndani hata akifanya mumewe tendo la ndoa hawezi kujisafisha kwa sababu hiyo mikucha itamjerui huko kwa bibi ni raini
Gusa link kachangie

 
Back
Top Bottom