Inawezekana kweli ikawa walikesha wakitembea, je hawana haki ya kwenda kwenye ibada?Kuna wakristo wengine wanaingia nyumba za ibada wakiwa na hangover
Wengine ukiwacheck miguu jinsi ilivo na vumbi kama wamekesha wanatembea
Sasa hapo ni kipi kilicho kukasirisha mpaka unatoa povu lote hilo?Hizi mada ni za kipuuzi. Na hivyo hamtakiwi kuzipa kipaumbele.
Usafi ni tabia ya mtu. Na hukua nayo tangu utotoni. Hivyo hii nadharia yako haina mashiko.
Juzi kati kuna mwenzako naye alikuja na mada ya watoto wa kiislam wana fanya nini sijui kuliko watoto wa kikristo!
Hivi mna shida gani nyinyi viumbe? Kwa nini baadhi yenu huwa mnajiona ni bora sana pamoja na hiyo imani yenu? Na kama mnajiona ni bora sana kuliko wengine, kwa nini msinyamaze kimya? Kuna ulazima wowote ule wa kutaka kujilinganisha kila siku?
Au umefuturu, na kushiba! Sasa akili inakutuma kuandika mambo ya kipuuzi tu! Acheni mambo yenu bhana.
[emoji23][emoji23]Jibu simple bila unafiki ni kwa sababu Uislamu ni dini yenye ushirikiano wa moja kwa moja na majini na siku zote majini hayataki uchafu na wanawake uliowataja ni wake wa binadamu na majini pia.
Usafi upi?Hello JF,
πππ
Mara nyingi kama sio mara zote mwanamke wa kiislamu ni msafi zaidi kuliko hawa wa dini zetu za magharibi, haswaa mifano hii ni kwa wanawake ambao hawana tabia mbaya kam ufuska ama uzinzi, usherati na ulevi.
Mazingira wezeshi yawe sawa hawa wote wapatikane mazingira ambayo maji sio tatizo, pesa sio tatizo na muda upo.
Hii ni perspective na experience yangu
Wadiz
Hongera kwa povu ila haibatilishi ukweli kuwa katika dini yako wewe unachukuliwa kama chombo cha starehe ya mwanaume na majini na bikra yako ndiyo zawadi yao huko peponi tena moja haitoshi itabidi watunukiwe saba.kama hujui kitu ni bora ukauliza
Mungu yupi huyu Allah mlezi wa shetani, aliyemwagiza shetani atupoteze wote na kuanzisha timbwili huku duniani au mwingine?Mungu akusamehe hujui ulitendalo.
Siku zote pachafu tiyari (msikitini au temple zinazomuungamia devil) hapawezi kuchafuliwa bali patakatifu ndipo panapowaniwa,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ajabu ndoa za kufirana zinafungwa makanisani
Kwa tafsiri yako wazungu wote wana majini kwa kuwa hizo ni tamaduni zao ambazo sisi tumeiga kama ambavyo nanyi mmekaririshwa tamaduni za kiarabu ambazo hamjui hata chanzo chake ni nini mnasukumwa mnakwenda tu kama mang'ombe nyambaff!Wewe majini uliwai kuyaona?kwatakifa yako mwanamke yoyote mvaa kimini suruali tisheti makwapa wazi muda wote makucha bandia wanawake wanamna hii wote wanayo majini mahaba utake ndio hivio ukatae ndio hivio
Shetani aliyemrubuni Eva bustanini wakala tunda na Adam,kaumbwa na nani!?Mungu yupi huyu Allah mlezi wa shetani, aliyemwagiza shetani atupoteze wote na kuanzisha timbwili huku duniani au mwingine?View attachment 2571086View attachment 2571096
OkMwili wako mwanamke wa kiislamu ni hekalu au temple ya kijini, ndiyo maana wapaswa kujiweka wakfu kwa kujifukiza udi na uturi, kujitanda muda wote (kwa kuwa majini ni viumbe wenye wivu sana) na pia usafi ni kwa ajili ya kuwahudumia au kuwafurahisha wao zaidi ya mmeo wa kifizikia.
πππ Simple like that??Jibu simple bila unafiki ni kwa sababu Uislamu ni dini yenye ushirikiano wa moja kwa moja na majini na siku zote majini hayataki uchafu na wanawake uliowataja ni wake wa binadamu na majini pia.
Don't be bothered with an idiot man. The man is totaly idiot, ignorant and primitive.kama hujui kitu ni bora ukauliza
Kujamba is a natural thing, kama mna amini aliyekuumba kakuumba perfect, kwanini kujamba iwe issue mpaka upoteze udhu? hii haijakaa sawa, hata hiyo ya usigusane na mwanamke ni ngumu kuamini, inaonekana ni wivu wa kiume tuuAl islam nadhif. Uislamu ni usafi, wa moyo na mwili. Niliacha kuswali swala5 kwa sababu nilishindwa masharti.
Usijidondoshee hata tone la mkojo, itabidi uvue hizo nguo uvae zingine. Usigusane na mwanamke usitokwe na ute wowote, usijambe hovyo hovyo unapoteza udhu wako.
Msikitini kuna mabafu ya huoga na watu huoga habla ta sala iwapo umechafuka. Huwezi tenda yote hayo ukawa mchafu.
Mazingira yangu yakawa hayasapoti nokaacha sala tano, nina deni kubwa sana.
Al Islam nadhf!
Gusa link kachangieChiki yako iwezi kubadilisha ukweli mleta mada kaongelea wanawake maalumu wa kiisilamu ni kweli ni wasafi kuanzia miili yao mpaka mazingira,wanawake wengi wakikiristo usafi wao ni kuvaa wigi vimini mikucha ya bandia kujipulizia pafiumu wengi wao awatumii maji baada ya kujisaidia haja ndogo haja kubwa wanatumia karatasi tishu unapinga fatilia utaona mwanamke anamikucha kama kunguru awezi kuchamba baada ya haja kubwa hata akichamba mikucha itabakia na mavi kwa ndani hata akifanya mumewe tendo la ndoa hawezi kujisafisha kwa sababu hiyo mikucha itamjerui huko kwa bibi ni raini