Hivi kuna uhusiano gani kati ya Usukuma na ushamba?

Hivi kuna uhusiano gani kati ya Usukuma na ushamba?

Wana kata matonge makubwa...😂😂
Wana tafuna mahindi/makande kwa nguvu...😃
Wana tafuna miwa na karanga hata kama wamevaa suti...🤣🤣
Wanaongea kwenye sim kwa sauti kubwa...😝😝
Hawauzi ng'ombe ili wakatibiwe hata kama wana karibia kukufa...🤨
Nakadhalika na kadhalika...
Duh! Aisee 😂
 
Nina shosti angu yupo Simiyu iv karibuni kanunua smartphone yani ni mwendo wa kunitumia picha zake na za ndugu zake kila siku
Screenshot_20250125-164535_Instagram Lite.jpg
 
Inawezekana Kila mtu ni mshamba lakini ushamba tunakuwa nao kwa muda, ila kwa upande wa wasukuma ushamba ni kitu hakiwatoki nimekuja kubali msukuma hata angezaliwa New York city still angebaki na viashiria fulani kuonyesha kuwa ni mshamba.

Nimejifunza haya baada ya interaction na wasukuma yaani wao ushamba hauwatoki.

Angalia wakikosea namba ya simu utakapokereka nao halafu wagumu sana kukubali kuwa amekosea
 

Attachments

  • Screenshot_20250121-101932~2.png
    Screenshot_20250121-101932~2.png
    152.8 KB · Views: 2
Ila mkuu hapo kwenye simu ndio balaaaa, yaan mtu anakupigia harafu anaongea kilugha basi huyo mtssumbuana wiki nzimsl
Nikiwa mbeya,kuna huyo toka Shinyanga mdada alikosea namba,ni mama wa watoto watatu...aliendelea kunipigia kila asub na kuniambia basi aje,aisee nilichoka.
Ila nna rafiki zangu wasukuma waliochanganya mama toka kabila lingine wapo poa sana na wajanja
 
Hahaha nmekaa Sana kule Kama 14 yrs maeneo tofauti. Vijijini tulienda na gari masikini watoto wanakimbia huku wanalia sijui wanawaza mnyama gani huyu mkubwa hivi😄😄, yaani hata pasi ya umeme wanauliza "na haka Ni ka Nini? Hahah!

Kiboko Ni pale tumetoka mwanza mjini kuelekea kwimba barabara ya vumbi sio kijijini kivile Sasa tupo kwenye haisi njiani tunaona abiria wawili walikuwa wadada wanasimamisha gari, konda kafungua mlango hahah! Wakwanza akavua viatu akaingia amevishika mkononi, wapili na yeye anamwangalia wa kwanza kafanyaje hahah! Na yeye pia akavua viatu akashika mkononi Sasa gari ikaondoka watu wote kwenye gari tukaanza kucheka vibaya mno, konda akawaambia hebu vaeni viatu vyenu, wakavaa nakumbuka dreva wa gari aliendesha anacheka hadi tunafika kwimba🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom