Hivi kuna uhusiano gani kati ya Usukuma na ushamba?

Hivi kuna uhusiano gani kati ya Usukuma na ushamba?

Ongezea sukari wewe
Hahaha nmekaa Sana kule Kama 14 yrs maeneo tofauti. Vijijini tulienda na gari masikini watoto wanakimbia huku wanalia sijui wanawaza mnyama gani huyu mkubwa hivi😄😄, yaani hata pasi ya umeme wanauliza "na haka Ni ka Nini? Hahah!

Kiboko Ni pale tumetoka mwanza mjini kuelekea kwimba barabara ya vumbi sio kijijini kivile Sasa tupo kwenye haisi njiani tunaona abiria wawili walikuwa wadada wanasimamisha gari, konda kafungua mlango hahah! Wakwanza akavua viatu akaingia amevishika mkononi, wapili na yeye anamwangalia wa kwanza kafanyaje hahah! Na yeye pia akavua viatu akashika mkononi Sasa gari ikaondoka watu wote kwenye gari tukaanza kucheka vibaya mno, konda akawaambia hebu vaeni viatu vyenu, wakavaa nakumbuka dreva wa gari aliendesha anacheka hadi tunafika kwimba🤣🤣🤣🤣
 
Wewe ni kabila gani..??
Una umri gani..??
Una ujanja gani wa kuwazidi wasukuma..??
Una utani na wasukuma..??
Unatoa wapi mamlaka ya kuhoji ulaji wa mtu..?? Umempa wewe huo ugali.. Uchoyo wa kabila lako na njaa za kwenu visikupe jeuri ya kuhukumu ukarimu wa wasukuma..
Kama wewe ni mtani wa wasukuma hakuna tatizo.. Lakini kama hauna utani na wasukuma basi acha upumbavu na fata maisha yako
Nyanoko bhebhe..
 
Wewe ni kabila gani..??
Una umri gani..??
Una ujanja gani wa kuwazidi wasukuma..??
Una utani na wasukuma..??
Unatoa wapi mamlaka ya kuhoji ulaji wa mtu..?? Umempa wewe huo ugali.. Uchoyo wa kabila lako na njaa za kwenu visikupe jeuri ya kuhukumu ukarimu wa wasukuma..
Kama wewe ni mtani wa wasukuma hakuna tatizo.. Lakini kama hauna utani na wasukuma basi acha upumbavu na fata maisha yako
Nyanoko bhebhe..
Nyanoko bhebhe inamaanisha nini mkuu😀😀 msukuma kachokozwa hukuu
 
Wewe ni kabila gani..??
Una umri gani..??
Una ujanja gani wa kuwazidi wasukuma..??
Una utani na wasukuma..??
Unatoa wapi mamlaka ya kuhoji ulaji wa mtu..?? Umempa wewe huo ugali.. Uchoyo wa kabila lako na njaa za kwenu visikupe jeuri ya kuhukumu ukarimu wa wasukuma..
Kama wewe ni mtani wa wasukuma hakuna tatizo.. Lakini kama hauna utani na wasukuma basi acha upumbavu na fata maisha yako
Nyanoko bhebhe..
daah
 
Inawezekana Kila mtu ni mshamba lakini ushamba tunakuwa nao kwa muda, ila kwa upande wa wasukuma ushamba ni kitu hakiwatoki nimekuja kubali msukuma hata angezaliwa New York city still angebaki na viashiria fulani kuonyesha kuwa ni mshamba.

Nimejifunza haya baada ya interaction na wasukuma yaani wao ushamba hauwatoki.

Angalia wakikosea namba ya simu utakapokereka nao halafu wagumu sana kukubali kuwa amekosea
Ni mapacha hawa, kamwe hawatotengana.....ni sawa tu Mkwere na vibao kata ama mchiriku kila weekend.
 
Inawezekana Kila mtu ni mshamba lakini ushamba tunakuwa nao kwa muda, ila kwa upande wa wasukuma ushamba ni kitu hakiwatoki nimekuja kubali msukuma hata angezaliwa New York city still angebaki na viashiria fulani kuonyesha kuwa ni mshamba.

Nimejifunza haya baada ya interaction na wasukuma yaani wao ushamba hauwatoki.

Angalia wakikosea namba ya simu utakapokereka nao halafu wagumu sana kukubali kuwa amekosea
Achana nawo!
Wanatuonea DONGE na WIVU tu hao!
Kwanza wanatamani wangekuwa wasukuma!
 
20250225_144113.jpg
 
Back
Top Bottom