Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Duh! Aisee πWana kata matonge makubwa...ππ
Wana tafuna mahindi/makande kwa nguvu...π
Wana tafuna miwa na karanga hata kama wamevaa suti...π€£π€£
Wanaongea kwenye sim kwa sauti kubwa...ππ
Hawauzi ng'ombe ili wakatibiwe hata kama wana karibia kukufa...π€¨
Nakadhalika na kadhalika...
π€π€π€Wasukuma kama hawajui kitu huwa hawajivungi, sio much know. They are humble. Watajifunza hiki na watajifunza kile. Sio mabrazameni au masistaduu. Wanaishi kwa uhalisia. Nawakubali sana wasukuma
Mpe nafasi, dushelele zao hazimithiliki.Kuna mmoja alikosea namba mwaka wa 3 huu nablock anachange namba akipiga anasema nilikuwa nakusalimuπππ
Weka pictureHapana
Nina shosti angu yupo Simiyu iv karibuni kanunua smartphone yani ni mwendo wa kunitumia picha zake na za ndugu zake kila siku
Oyaa! Nyani NgabuUnaweza kuta ngabu unajipikia ugali mgumu sana huko marekani na kwenda kujisaidia vichakaniπ
Inawezekana Kila mtu ni mshamba lakini ushamba tunakuwa nao kwa muda, ila kwa upande wa wasukuma ushamba ni kitu hakiwatoki nimekuja kubali msukuma hata angezaliwa New York city still angebaki na viashiria fulani kuonyesha kuwa ni mshamba.
Nimejifunza haya baada ya interaction na wasukuma yaani wao ushamba hauwatoki.
Angalia wakikosea namba ya simu utakapokereka nao halafu wagumu sana kukubali kuwa amekosea
Nikiwa mbeya,kuna huyo toka Shinyanga mdada alikosea namba,ni mama wa watoto watatu...aliendelea kunipigia kila asub na kuniambia basi aje,aisee nilichoka.Ila mkuu hapo kwenye simu ndio balaaaa, yaan mtu anakupigia harafu anaongea kilugha basi huyo mtssumbuana wiki nzimsl
Pia hao wakina lucas,wanyia ni washamba sana na hawana utu kabisa kabila lao...hivi lucas mwashambwa si mmoja wao kweli? aje kujibu tuhuma hizi
Na yale makoti ulikua huyaoni mikononi?Mbona namba moja alikuwa mjanja?
Pale dingi naye mikono ya makoti yake alikuwa anazinguaNa yale makoti ulikua huyaoni mikononi?
Na kuna ile kapiga na mkapa 1995kwenye kampeni,na ile wapo na Kitwanga ameshika begi,yani hatari.Pale dingi naye mikono ya makoti yake alikuwa anazingua
Koti la draft na miwani kama fundi kuchomeaNa kuna ile kapiga na mkapa 1995kwenye kampeni,na ile wapo na Kitwanga ameshika begi,yani hatari.
Tombina, opagelile na pididIla ubhushamba tulinabho nkoi