Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Habari za muda huu wakuu. Ni Tumaini langu nyote ni wazima na mnaendelea vizuri.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza juu..
Si ndugu bali ni rafiki ambae mnafahamiana muda mrefu..wewe ni mwanamke anakuomba mpange nyumba kubwa muishi wawili mnashare baadhi ya sehemu tu kama vile kitchen,dining room,sitting room tu.
Hivi hii kitu inawezekana kweli na kuendelea kubaki salama😅😅
Comments zenu nitazizingatia😁😁
Naomba kuwasilisha
🧚♀️🧚♀️🧚♀️🧚♀️🥂🥂🥂🥂
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza juu..
Si ndugu bali ni rafiki ambae mnafahamiana muda mrefu..wewe ni mwanamke anakuomba mpange nyumba kubwa muishi wawili mnashare baadhi ya sehemu tu kama vile kitchen,dining room,sitting room tu.
Hivi hii kitu inawezekana kweli na kuendelea kubaki salama😅😅
Comments zenu nitazizingatia😁😁
Naomba kuwasilisha
🧚♀️🧚♀️🧚♀️🧚♀️🥂🥂🥂🥂