mwanateknolojia
JF-Expert Member
- Nov 17, 2014
- 1,026
- 1,749
Hapo ni impossible angle! Labda Mwanaume awe na mitambo isiyowaka! Wanandoa tu wanaopanga nyumba moja vyumba separate, wanaibiana sembuse ninyi muwe alone of alone!??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Napika kwa ufundi wote chakula ambacho kitakushawishi baada ya kula utamani kumla na mpishi.Ila kwa style hio lazma nikule kimasihara maana napenda kupikiwa haswa😂😂😂 tena upike kiufundi ndio dah.
Mke wangu naye alikuwa ni room mate tulipokuwa tunasoma nje ya nchi! Huyu Hannah ni kama alikuwa anatupiga pichaJamani...mbona unaogopesha watu? Majaribio ruksa...ikishindikana ...basi tena.
Na mimi nacheka chekaa huku nasema "kweli? Sasa hapo nilikuwa na haraka ngoja siku nikae nikupikie vizuri". Jicho nalirembua haswa.😂😂😂😂utasikia mwanake mapishi😅😅😅 boy niko zangu narusha rusha miguu kwenye sofaa
Huweza kukaa na toothpick mdomoni siku nzima usiitafuneHabari za muda huu wakuu.
Ni Tumaini langu nyote ni wazima na mnaendelea vizuri.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza 👆juu..
Si ndugu bali ni rafiki ambae mnafahamiana muda mrefu..wewe ni mwanamke anakuomba mpange nyumba kubwa muishi wawili mnashare baadhi ya sehemu tu kama vile kitchen,dining room,sitting room tu.
Hivi hii kitu inawezekana kweli na kuendelea kubaki salama😅😅
Comments zenu nitazizingatia😁😁
Naomba kuwasilisha
🧚♀️🧚♀️🧚♀️🧚♀️🥂🥂🥂🥂
Nilijuaa lazima nikukuteeeAtakuwa anataka papuchi ya chibonge!
Hapo kwenye 'kushiba na mawazo ya sex yanacome '[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo umeniacha hoiWewe haujui, picha linaanza hivi.
Mwanaume kwa kawaida ni mvivu wa kupika. Hivo mwanamke atapika chakula cha wote na atatenga mezani watakula pamoja.
Kumbuka hapo mdada atakuwa amevaa nguo ambazo sio rafiki[emoji23][emoji23][emoji23]na unajua watu wakishiba mawazo ya sex yanakuja?
Wanaanzia hapo hapo hamna hata kwenda chumbani. Kwa sababu mlango umefungwa. Baada ya hapo ni kuanza kuishi kama mume na mke tu[emoji23][emoji23].
Shida inaanza pale mmoja wapo mpenzi wake anakuja kumtembelea.