Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna siku utaliwa tu.Habari za muda huu wakuu.
Ni Tumaini langu nyote ni wazima na mnaendelea vizuri.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza [emoji115]juu..
Si ndugu bali ni rafiki ambae mnafahamiana muda mrefu..wewe ni mwanamke anakuomba mpange nyumba kubwa muishi wawili mnashare baadhi ya sehemu tu kama vile kitchen,dining room,sitting room tu.
Hivi hii kitu inawezekana kweli na kuendelea kubaki salama[emoji28][emoji28]
Comments zenu nitazizingatia[emoji16][emoji16]
Naomba kuwasilisha
[emoji3344][emoji3344][emoji3344][emoji3344][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635]
Tena wakiwa na watu wao no hatari watapoteza wapenzi waoKama kila mtu ana mtu wake hapo sawa....ila ni ngumu sana....baada ya mda mtapeana tu
shetani jinga lileShetani mkorofi sana. Hapo ukishapata mimba anamshawishi mwanaume aikatae na wewe anakushawishi uitoe.
Kuna siku akiwa na nyege atamwona bonge la handsomeLabda awe havutiii.
Habari za muda huu wakuu.
Ni Tumaini langu nyote ni wazima na mnaendelea vizuri.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza 👆juu..
Si ndugu bali ni rafiki ambae mnafahamiana muda mrefu..wewe ni mwanamke anakuomba mpange nyumba kubwa muishi wawili mnashare baadhi ya sehemu tu kama vile kitchen,dining room,sitting room tu.
Hivi hii kitu inawezekana kweli na kuendelea kubaki salama😅😅
Comments zenu nitazizingatia😁😁
Naomba kuwasilisha
🧚♀️🧚♀️🧚♀️🧚♀️🥂🥂🥂🥂
Hapo anataka wazini weeeeee then wawe wauaji wa vichanga kwa kutoa mimba.shetaji jinga lile
ATATAFUNWA TU!!!Ni kweli mkuu kichwa chaniuma sana.😅😅
Si ana girlfriend wake jamani mbona hivyo nyie watu😁😁
si ndo apo 😀😀😀Inawezekana mbona mi naweza na simli huyo rafiki yangu wakike!.. kwani nini ngumu bhana..?
ukiaa ukatulia shetani anakustua ina maana ile pis hujaiona au kiburiHapo anataka wazini weeeeee then wawe wauaji wa vichanga kwa kutoa mimba.
si unakua na funguo yakoATATAFUNWA TU!!!
Yaani nirudi zangu nite nshapiga BAPA halafu aje kunifungulia mlango na kakanga kake halafu nimwache?????
Kuna kimwanamke hapa kinaniimbia huu wimbo!Sawa kaka
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Unashika moja kichwani [emoji3]1-2= Haiwezekani tunakopa