Hivi kuna uwezekano kati ya mwanamke na mwanaume kupanga nyumba moja bila kuwa na mahusiano?

Hivi kuna uwezekano kati ya mwanamke na mwanaume kupanga nyumba moja bila kuwa na mahusiano?

Habari za muda huu wakuu.
Ni Tumaini langu nyote ni wazima na mnaendelea vizuri.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza [emoji115]juu..

Si ndugu bali ni rafiki ambae mnafahamiana muda mrefu..wewe ni mwanamke anakuomba mpange nyumba kubwa muishi wawili mnashare baadhi ya sehemu tu kama vile kitchen,dining room,sitting room tu.

Hivi hii kitu inawezekana kweli na kuendelea kubaki salama[emoji28][emoji28]

Comments zenu nitazizingatia[emoji16][emoji16]

Naomba kuwasilisha

[emoji3344][emoji3344][emoji3344][emoji3344][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635]
Kuna siku utaliwa tu.
Kuna siku za shetani, utajikuta mpweke, umejaa nyege na yeye pia anaweza kiwa na hali hiyo, mtakula hakika
 
Wazungu wanaweza,ila ngoz nyeus n ngumu,wazungu huweza Kuja kutalii huku marafik ambao n jinsia tofaut na wakarud bila kulana........Kuna kaka angu alimla demu kutokana na vyumba vyao kuwa Karbu na vilkuwa havjakazwa huu,walkuwa wanapga story mpaka usku na wakienda kulala bado wanaendelea kupga story kila mtu akiwa ktandan kwake,sku moja huyo madam uzalendo ulimshnda alichofanya nkumuulza jamaa kama anazo kondom ,Bahat nzur jamaa alkuwa nazo,kilchofata n kula tunda kmamasihara
 
Habari za muda huu wakuu.
Ni Tumaini langu nyote ni wazima na mnaendelea vizuri.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza 👆juu..

Si ndugu bali ni rafiki ambae mnafahamiana muda mrefu..wewe ni mwanamke anakuomba mpange nyumba kubwa muishi wawili mnashare baadhi ya sehemu tu kama vile kitchen,dining room,sitting room tu.

Hivi hii kitu inawezekana kweli na kuendelea kubaki salama😅😅

Comments zenu nitazizingatia😁😁

Naomba kuwasilisha

🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️🥂🥂🥂🥂

Mwenye kuanzisha hilo wazo atakuwa na jambo na mwenzake, na mwenzake naye akikubali hilo wazo hao kwa pamoja wanalao jambo, wameamua kuanza kwa staili yakipekee. Hakuna kijana mwenye girlfriend atakubali upangaji wa kiini macho kama huo, hali kadhalika kwa wa-kike vivyo hivyo.
 
Back
Top Bottom