Ronnycinchy
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 2,086
- 7,118
Jamani...mbona unaogopesha watu? Majaribio ruksa...ikishindikana ...basi tena.Labda JKT wajibu kule [emoji1787][emoji1787][emoji1787] vinginevyo utashangaa umejenga urafiki na ndimu tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani...mbona unaogopesha watu? Majaribio ruksa...ikishindikana ...basi tena.Labda JKT wajibu kule [emoji1787][emoji1787][emoji1787] vinginevyo utashangaa umejenga urafiki na ndimu tu.
Hii ni sawa sawa na kwenye uchaguzi wa mwaka huu CHADEMA wawaombe Mawakala wa CCM wawasaidie kulinda kura zao sehemu watakazoshindwa kuweka mawakalaHabari za muda huu wakuu.
Ni Tumaini langu nyote ni wazima na mnaendelea vizuri.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza 👆juu..
Si ndugu bali ni rafiki ambae mnafahamiana muda mrefu..wewe ni mwanamke anakuomba mpange nyumba kubwa muishi wawili mnashare baadhi ya sehemu tu kama vile kitchen,dining room,sitting room tu.
Hivi hii kitu inawezekana kweli na kuendelea kubaki salama😅😅
Comments zenu nitazizingatia😁😁
Naomba kuwasilisha
🧚♀️🧚♀️🧚♀️🧚♀️🥂🥂🥂🥂
Hahahah natafuta soon, maana nimeingia jijini rasmi. Itabidi tufanye huo mpango wa kugawana rasilimaliHautafuti nyumba ya kupanga mkuu? Tupange kaself tugawane vyumba, sebule na jiko tutumie pamoja?
Jamani...mbona unaogopesha watu? Majaribio ruksa...ikishindikana ...basi tena.
Njoo tupange kwa mtindo huo utaenjoy maisha, Mimi sina madhara hata, ni kama nyuki wa mashineni tu....Habari za muda huu wakuu.
Ni Tumaini langu nyote ni wazima na mnaendelea vizuri.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza [emoji115]juu..
Si ndugu bali ni rafiki ambae mnafahamiana muda mrefu..wewe ni mwanamke anakuomba mpange nyumba kubwa muishi wawili mnashare baadhi ya sehemu tu kama vile kitchen,dining room,sitting room tu.
Hivi hii kitu inawezekana kweli na kuendelea kubaki salama[emoji28][emoji28]
Comments zenu nitazizingatia[emoji16][emoji16]
Naomba kuwasilisha
[emoji3344][emoji3344][emoji3344][emoji3344][emoji1635][emoji1635][emoji1635][emoji1635]
Karibu[emoji6][emoji6]Hahahah tutajaribu usihofu.
Wewe haujui, picha linaanza hivi.Hahahah natafuta soon, maana nimeingia jijini rasmi. Itabidi tufanye huo mpango wa kugawana rasilimali
Ila haya mambo bana, utaskia G leo mie naogopa huku kulala mwenyewe naona kama mtu amesimama dirishani. Mary bana...usiogope njoo basi ulale huku kwangu leo. Hapo picha linaanza sasa 🤣🤣🤣
wewe kuna kitu sema tuuHabari za muda huu wakuu.
Ni Tumaini langu nyote ni wazima na mnaendelea vizuri.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza 👆juu..
Si ndugu bali ni rafiki ambae mnafahamiana muda mrefu..wewe ni mwanamke anakuomba mpange nyumba kubwa muishi wawili mnashare baadhi ya sehemu tu kama vile kitchen,dining room,sitting room tu.
Hivi hii kitu inawezekana kweli na kuendelea kubaki salama😅😅
Comments zenu nitazizingatia😁😁
Naomba kuwasilisha
🧚♀️🧚♀️🧚♀️🧚♀️🥂🥂🥂🥂
Mwamba Kama nakuona vile ...😀Mambo ya kuegesheana miguu kitandani hayakwepeki...Mara paap mipapaso ya pwani imeanza 😂😂😂 hujakaa vizuri kachupi kamevutwa pembeni nyoka anatafta hifadhi 😂😂😂
Hahahah ila hio inatokeaga ila lazima muwe mmezoeana kidogo. Ile ya sleeping over huwa ni very quick tactic hata kama mmekutana leo.Wewe haujui, picha linaanza hivi.
Mwanaume kwa kawaida ni mvivu wa kupika. Hivo mwanamke atapika chakula cha wote na atatenga mezani watakula pamoja.
Kumbuka hapo mdada atakuwa amevaa nguo ambazo sio rafiki😂😂😂na unajua watu wakishiba mawazo ya sex yanakuja?
Wanaanzia hapo hapo hamna hata kwenda chumbani. Kwa sababu mlango umefungwa. Baada ya hapo ni kuanza kuishi kama mume na mke tu😂😂.
Shida inaanza pale mmoja wapo mpenzi wake anakuja kumtembelea.
Baba acha tu hii mambo ni balaa😝😝😝Mwamba Kama nakuona vile ...😀
Ila kwa style hio lazma nikule kimasihara maana napenda kupikiwa haswa😂😂😂 tena upike kiufundi ndio dah.Wewe haujui, picha linaanza hivi.
Mwanaume kwa kawaida ni mvivu wa kupika. Hivo mwanamke atapika chakula cha wote na atatenga mezani watakula pamoja.
Kumbuka hapo mdada atakuwa amevaa nguo ambazo sio rafiki😂😂😂na unajua watu wakishiba mawazo ya sex yanakuja?
Wanaanzia hapo hapo hamna hata kwenda chumbani. Kwa sababu mlango umefungwa. Baada ya hapo ni kuanza kuishi kama mume na mke tu😂😂.
Shida inaanza pale mmoja wapo mpenzi wake anakuja kumtembelea.
utasikia mwanake mapishi😅😅😅 boy niko zangu narusha rusha miguu kwenye sofaaWewe haujui, picha linaanza hivi.
Mwanaume kwa kawaida ni mvivu wa kupika. Hivo mwanamke atapika chakula cha wote na atatenga mezani watakula pamoja.
Kumbuka hapo mdada atakuwa amevaa nguo ambazo sio rafiki😂😂😂na unajua watu wakishiba mawazo ya sex yanakuja?
Wanaanzia hapo hapo hamna hata kwenda chumbani. Kwa sababu mlango umefungwa. Baada ya hapo ni kuanza kuishi kama mume na mke tu😂😂.
Shida inaanza pale mmoja wapo mpenzi wake anakuja kumtembelea.
Kweli ni ngumu kumruhusu mpenzi wako aishi hivo.Hahahah ila hio inatokeaga ila lazima muwe mmezoeana kidogo. Ile ya sleeping over huwa ni very quick tactic hata kama mmekutana leo.
Sema mpenzi wako hawezi ruhusu uishi sehemu ya hivyo! You can plan doing that ukiwa single.