Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Looh wewe dada mungu anakuona[emoji7][emoji8]Napika kwa ufundi wote chakula ambacho kitakushawishi baada ya kula utamani kumla na mpishi.
Fanya uje tupange pamoja.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hannh shenzi wewe[emoji28][emoji28][emoji28]Na mimi nacheka chekaa huku nasema "kweli? Sasa hapo nilikuwa na haraka ngoja siku nikae nikupikie vizuri". Jicho nalirembua haswa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umesema yoteKwamba nyege hazina adabu si ndio[emoji1787][emoji1787]
Kumbe uko tayari kwa mechi pangeni harakaTutakulana mkuu hakuna namna[emoji1787][emoji1787]
Akikubali mkumbato imeisha hiyo🤣🤣Hahahah natafuta soon, maana nimeingia jijini rasmi. Itabidi tufanye huo mpango wa kugawana rasilimali
Ila haya mambo bana, utaskia G leo mie naogopa huku kulala mwenyewe naona kama mtu amesimama dirishani. Mary bana...usiogope njoo basi ulale huku kwangu leo. Hapo picha linaanza sasa 🤣🤣🤣
Kwani hii dunia ni yetu🤣🤣🤣🤣🤣Mm ni mwanaume, nikitaka mke bila mahari ningefanya kama huyo mwamba anachokufanyia now..
Ushauri: Bora kama shida ni kuzini tu mmalizane yaishe kuliko kuwa mke bila kutolewa mahari. Utafanywa, raha utasikia na hutataka kuacha mpaka pale utakapopata mimba au ngoma sasa at that point pona yako ni kama jamaa anakupenda.
Mtu mwenyewe anaezungumziwa hapa ni mimi ila mleta mada hata hajuiNilijuaa lazima nikukuteee
Ila inawezekana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani swala na simba eti waamue wakae pamoja, labda simba huyo awe vegetarian[emoji3][emoji3]
Sio mimi kweli?.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtu mwenyewe anaezungumziwa hapa ni mimi ila mleta mada hata hajui
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii ni sawa sawa na kwenye uchaguzi wa mwaka huu CHADEMA wawaombe Mawakala wa CCM wawasaidie kulinda kura zao sehemu watakazoshindwa kuweka mawakala
Dada anataka Kufanya practice..niunge mkono katika hili Kipenzi 😜Endelea kufuatilia comments dada afe beki afe kipa lazima jibu lipatikane yna2