Hivi kuna uwezekano kati ya mwanamke na mwanaume kupanga nyumba moja bila kuwa na mahusiano?

Hivi kuna uwezekano kati ya mwanamke na mwanaume kupanga nyumba moja bila kuwa na mahusiano?

Hahahah natafuta soon, maana nimeingia jijini rasmi. Itabidi tufanye huo mpango wa kugawana rasilimali

Ila haya mambo bana, utaskia G leo mie naogopa huku kulala mwenyewe naona kama mtu amesimama dirishani. Mary bana...usiogope njoo basi ulale huku kwangu leo. Hapo picha linaanza sasa 🤣🤣🤣
Akikubali mkumbato imeisha hiyo🤣🤣
 
Mm ni mwanaume, nikitaka mke bila mahari ningefanya kama huyo mwamba anachokufanyia now..
Ushauri: Bora kama shida ni kuzini tu mmalizane yaishe kuliko kuwa mke bila kutolewa mahari. Utafanywa, raha utasikia na hutataka kuacha mpaka pale utakapopata mimba au ngoma sasa at that point pona yako ni kama jamaa anakupenda.
Kwani hii dunia ni yetu🤣🤣🤣🤣🤣
Mbinu yako imekaa poa snaa
 
Natafuta wa kupanga naye..jinsia tofauti na Mimi..nataka nipate jibu la chakorii..😎
Endelea kufuatilia comments dada afe beki afe kipa lazima jibu lipatikane yna2
 
Hii ni sawa sawa na kwenye uchaguzi wa mwaka huu CHADEMA wawaombe Mawakala wa CCM wawasaidie kulinda kura zao sehemu watakazoshindwa kuweka mawakala
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom