Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 43,973
- 150,463
Mimi niko poa kabisa ...kumis uwepo wako jukwaaniNami nakusalimu..za siku mpendwa wangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi niko poa kabisa ...kumis uwepo wako jukwaaniNami nakusalimu..za siku mpendwa wangu
Bibie naona hii kitu imekufurahisha, kama ulikuwa unameota mwota huyo mheshimiwa ndoto zitatimia sasa[emoji28][emoji28]Weeee[emoji38][emoji38][emoji38]usiniambie [emoji2957][emoji2957]
Amekwambisvhatski kunaswa mkuu?Run! Run! Run! Its a trap, utanishukuru baadaye!
Nakusikiliza boss..siendi tena nimeghairi 🤣🤣🤣
😅😅😅 mkuyenge utamhusu!Amekwambisvhatski kunaswa mkuu?
Huyu bibie kimuonrksna anahamu[emoji38][emoji38][emoji38]
Nashukuru ...nitakuwa nimepatiaa sana make wachache wamepewa ofa hiiPita tu baba..
🙌😋😋Wewe haujui, picha linaanza hivi.
Mwanaume kwa kawaida ni mvivu wa kupika. Hivo mwanamke atapika chakula cha wote na atatenga mezani watakula pamoja.
Kumbuka hapo mdada atakuwa amevaa nguo ambazo sio rafiki😂😂😂na unajua watu wakishiba mawazo ya sex yanakuja?
Wanaanzia hapo hapo hamna hata kwenda chumbani. Kwa sababu mlango umefungwa. Baada ya hapo ni kuanza kuishi kama mume na mke tu😂😂.
Shida inaanza pale mmoja wapo mpenzi wake anakuja kumtembelea.
mnawaishana sio😅Bado sijaliwa mkuu...
Ila ukiwa kimasihara ni tamu balaa...unatumia ujuzi wote na pumzi si haba inakuwepo..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]wewe kuna kitu sema tuu
NashukuruMimi niko poa kabisa ...kumis uwepo wako jukwaani
Karibuu sanaNashukuru
Nitakuja baadae mitaa hiyo..nimewaham kinoma