Hivi kuna uwezekano kati ya mwanamke na mwanaume kupanga nyumba moja bila kuwa na mahusiano?

Hivi kuna uwezekano kati ya mwanamke na mwanaume kupanga nyumba moja bila kuwa na mahusiano?

Run! Run! Run! Its a trap, utanishukuru baadaye!
🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️Asante
 
Hii ni sawa sawa na kwenye uchaguzi wa mwaka huu CHADEMA wawaombe Mawakala wa CCM wawasaidie kulinda kura zao sehemu watakazoshindwa kuweka mawakala
Aise 🤣
 
Pita tu baba..
Nashukuru ...nitakuwa nimepatiaa sana make wachache wamepewa ofa hii

But kiukweli inawezekana make muhim muamue kuishi kwenye huo msingi wa urafik na maisha yake naamini ni mazuri balahaaa ...uchanganyee urafiki na ushikajiiii raha sana nahisi

Sema kwa wenye mentality ya ukmtumia text nne binti na akajibu ukawaza wa ya tano umuingizee kingi kimtongozo hawawez kukubaliana na mawazo yangu japo sjapata lunch yawezekana mawazo ya njaa njaaa
 
Wewe haujui, picha linaanza hivi.

Mwanaume kwa kawaida ni mvivu wa kupika. Hivo mwanamke atapika chakula cha wote na atatenga mezani watakula pamoja.
Kumbuka hapo mdada atakuwa amevaa nguo ambazo sio rafiki😂😂😂na unajua watu wakishiba mawazo ya sex yanakuja?

Wanaanzia hapo hapo hamna hata kwenda chumbani. Kwa sababu mlango umefungwa. Baada ya hapo ni kuanza kuishi kama mume na mke tu😂😂.

Shida inaanza pale mmoja wapo mpenzi wake anakuja kumtembelea.
🙌😋😋
 
Back
Top Bottom