Hivi kuna uwezekano kati ya mwanamke na mwanaume kupanga nyumba moja bila kuwa na mahusiano?

Hivi kuna uwezekano kati ya mwanamke na mwanaume kupanga nyumba moja bila kuwa na mahusiano?

Kwa asilimia kubwa labda 90% haiwezekani. Mtaishia kuvuana chupi tu kwa wale wanaovaa chupi ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ
Ohoooo๐Ÿ™†โ€โ™€๏ธ๐Ÿ™†โ€โ™€๏ธ๐Ÿ™†โ€โ™€๏ธ๐Ÿ™†โ€โ™€๏ธ๐Ÿ™†โ€โ™€๏ธ๐Ÿ™†โ€โ™€๏ธ๐Ÿฅบ๐Ÿฅบ๐Ÿฅบ๐Ÿฅบ๐Ÿฅบsasa itakuwaje
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Akili mkichwa walisema wahenga. AMA umtolee nje kushare nyumba ama ujiandae kuvua chupi kama huwa unavaa ๐Ÿ˜œ

Ohoooo๐Ÿ™†โ€โ™€๏ธ๐Ÿ™†โ€โ™€๏ธ๐Ÿ™†โ€โ™€๏ธ๐Ÿ™†โ€โ™€๏ธ๐Ÿ™†โ€โ™€๏ธ๐Ÿ™†โ€โ™€๏ธ๐Ÿฅบ๐Ÿฅบ๐Ÿฅบ๐Ÿฅบ๐Ÿฅบsasa itakuwaje
 
Wanasemaa "simba akikosa nyama Ata nyasi huwa anakula" japo mala chache hutokea
 
Wanasemaa "simba akikosa nyama Ata nyasi huwa anakula" japo mala chache hutokea
Jehovah ๐Ÿ™†โ€โ™€๏ธ๐Ÿ™†โ€โ™€๏ธ๐Ÿ™†โ€โ™€๏ธ
 
hahahahaha kitu kinateleza tu ndani ya box, ndiyo umeshagegedwa! Mara huoni siku zako ๐Ÿ˜œ
Kufuli kama halipo inakuwa fasta hiyoooo imepenya

Mara naanza kuunga ushoga na ubuyu,udongo na maembe๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
 
Back
Top Bottom