Tella Mande
JF-Expert Member
- Jun 2, 2018
- 494
- 675
[emoji12] [emoji12] [emoji12]Kumbeee
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji137] [emoji137] [emoji137] [emoji137][emoji12] [emoji12] [emoji12]
Umefuraaahi mwenyewe[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji137] [emoji137] [emoji137] [emoji137]
Kwa nini nisiongeze siku za kuishi mimi mwenyewe.....[emoji23] [emoji23] [emoji23]Umefuraaahi mwenyewe
Hujambo lakini?
[emoji106]Kwa nini nisiongeze siku za kuishi mimi mwenyewe.....[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mimi mzima hofu kwako
Ngoja kwanza Baba mwenye nyumba amalize kuzuru himaya yake na mimi nije nichukue chopa moja kwa ajili ya usafiri wa haraka na wenye ufanisi[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji106]
Karibu rubambangwe
Ukija huku jibu ni ndio kwa kila kitu tumeelewana???Ngoja kwanza Baba mwenye nyumba amalize kuzuru himaya yake na mimi nije nichukue chopa moja kwa ajili ya usafiri wa haraka na wenye ufanisi[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sio wote wapo mjini wengine wanatuzuga tu wakat wapo huko mbwinde upepo unapougeziaNimekuwa najiuliza hili swali.maana me naamini sisi sote tunaishi mijini hasa majiji dar na labda katika miji mikuu ya mikoa.kwa kuangalia threads za wengi naona wengi wajanja wote Wana misemo ya kimjini mjini.sifikirii Kama Kuna yoyote ambaye yupo ndani ndani bush kabisa.
Kikubwa uwepo wa pumzi tu(uzima)Haya ukifuzu ukuje
InshaallahKikubwa uwepo wa pumzi tu(uzima)