Hivi kuna wanachama wa JF wanaoishi vijijini?

Hivi kuna wanachama wa JF wanaoishi vijijini?

Mkuu tupo kijijini japo kama mjini. Unajua vijiji vya kilimanjaro sio kama masasi
 
[emoji106]

Karibu rubambangwe
Ngoja kwanza Baba mwenye nyumba amalize kuzuru himaya yake na mimi nije nichukue chopa moja kwa ajili ya usafiri wa haraka na wenye ufanisi[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ngoja kwanza Baba mwenye nyumba amalize kuzuru himaya yake na mimi nije nichukue chopa moja kwa ajili ya usafiri wa haraka na wenye ufanisi[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ukija huku jibu ni ndio kwa kila kitu tumeelewana???

Lasivyo ntajifanya sikujui
 
Wa vijijini utakuta wameishi mjini wakaenda huko kijijini kusalimia
 
Nimekuwa najiuliza hili swali.maana me naamini sisi sote tunaishi mijini hasa majiji dar na labda katika miji mikuu ya mikoa.kwa kuangalia threads za wengi naona wengi wajanja wote Wana misemo ya kimjini mjini.sifikirii Kama Kuna yoyote ambaye yupo ndani ndani bush kabisa.
Sio wote wapo mjini wengine wanatuzuga tu wakat wapo huko mbwinde upepo unapougezia
 
Nipo Ushongo - Pangani nasoma comment za JF nikiwa napata upepo mwanana wa bahari.
 
Back
Top Bottom