Mohamedex121
JF-Expert Member
- Jan 27, 2022
- 1,725
- 3,271
Lengo la swali langu hili ni kupata company kutoka kwa hawa wamachinga wa mbezi maana nami ninampango wa kufungua meza yangu ya biashara hapo mbezi mwisho. Nilishapata eneo na nimeongea na mmiliki na amenipa hadi details za ushuru ili niweze kufanya biashara yangu mpya kama mmchinga.
Ok anyway mnajuwa kabisa kuna ile hali ambayo waswahili wanasema kuona aibu. Yes kabla ya kufikilia hili wazo langu nimekuwa muoga na mtu wa aibu hasa nikitaka kujaribu biashara ya umachinga. Huwa nafikiria sana nikiwepo pale mbezi na meza yangu ya biashara halafu ukicheki pale kuna mkusanyiko mkubwa wa watu, baadhi ya watu wanaonifahamu ni rahisi kukutana nao pale mbezi, sasa hofu yangu ni kwamba nitawaambia nini pindi wakiniona nimekuwa mmchinga na hii degree yangu??
Ila hili wazo nimepotezea kutokana na hali yangu ya kiuchumi na biashara yangu ya mara ya kwanza kukumbana na changamoto za kukosa wateja, maana hapa nilipo hakuna mkusanyiko mkubwa wa watu ukilinganisha na mbezi.
Hivo nimekuja mbele yenu mnipe courage (ujasiri) namna ya kuhimili hili wazo langu la biashara ya umachinga ukiachilia mbali degree niliokuwa nayo ili nisione aibu na nisijihisi niko pekee yangu tunaopitia hii hali ngumu ya kiuchumi hasa wale degree holder ambao tumeamua au wameshaanza kufanya biashara ya umachinga
#Natanguliza_shukurani_wakuu
Ok anyway mnajuwa kabisa kuna ile hali ambayo waswahili wanasema kuona aibu. Yes kabla ya kufikilia hili wazo langu nimekuwa muoga na mtu wa aibu hasa nikitaka kujaribu biashara ya umachinga. Huwa nafikiria sana nikiwepo pale mbezi na meza yangu ya biashara halafu ukicheki pale kuna mkusanyiko mkubwa wa watu, baadhi ya watu wanaonifahamu ni rahisi kukutana nao pale mbezi, sasa hofu yangu ni kwamba nitawaambia nini pindi wakiniona nimekuwa mmchinga na hii degree yangu??
Ila hili wazo nimepotezea kutokana na hali yangu ya kiuchumi na biashara yangu ya mara ya kwanza kukumbana na changamoto za kukosa wateja, maana hapa nilipo hakuna mkusanyiko mkubwa wa watu ukilinganisha na mbezi.
Hivo nimekuja mbele yenu mnipe courage (ujasiri) namna ya kuhimili hili wazo langu la biashara ya umachinga ukiachilia mbali degree niliokuwa nayo ili nisione aibu na nisijihisi niko pekee yangu tunaopitia hii hali ngumu ya kiuchumi hasa wale degree holder ambao tumeamua au wameshaanza kufanya biashara ya umachinga
#Natanguliza_shukurani_wakuu