Hivi kuna watu wapo humu na hawajawahi kabisa kufika jijini Dar es Salaam?

Hivi kuna watu wapo humu na hawajawahi kabisa kufika jijini Dar es Salaam?

Nimemaanisha kufika mkuu sio kuishi
Hata kufika, hutaki kuamini hivyo kwa sababu wewe katika akili yako kuishi Dar es salaam ni privilege kubwa.

Wakati kuna watu hawataki kabisa maisha ya kupandiana na watu baki wanataka maisha yao mashambani huko.
 
Back
Top Bottom