Hata kufika, hutaki kuamini hivyo kwa sababu wewe katika akili yako kuishi Dar es salaam ni privilege kubwa.Nimemaanisha kufika mkuu sio kuishi
π€£π€£π€£ππΎHuu uzi ni wangu,angenitag tu nitrendHuyu mwamba karuka na nafasi..
Bro has to chill.
Tatizo nauli hawana.Hivi Kuna watu wako Dar hawajawahi kutoka kabisa eeh??
Nina uhakika wapo pia mkuu.Hivi Kuna watu wako Dar hawajawahi kutoka kabisa eeh??
Atoke jijini aje huko kwenu maporini mkuu?Tatizo nauli hawana.
Ushafika wewe unazingua tuuπ€£π€£π€£ππΎHuu uzi ni wangu,angenitag tu nitrend
Hakika nakwambia sijawahi kabisaUshafika wewe unazingua tuu
Akibaki humo atakula mchanga wa pwani?Njaa zimewafanya hadi wapemba washinda vibarazani kujipa ufanyabiashara.Njaa.Atoke jijini aje huko kwenu maporini mkuu?
Panda Turu Best nikupokee Dodoma twende KuDaresalama mkuu.Mi sijawahi. Mtu anialike basi maana sina nduguz.
Nipo hapa mkuuMi sijawahi. Mtu anialike basi maana sina nduguz.
Tunakuja kilasiku mkuuKutembea.
Wakati mkilima huko mkilima kwenu soko lenu ni dar.Akibaki humo atakula mchanga wa pwani?Njaa zimewafanya hadi wapemba washinda vibarazani kujipa ufanyabiashara.Njaa.
ππππ Nimekutukana matusi mengi sana!Panda Turu Best nikupokee Dodoma twende KuDaresalama mkuu.
Fanya chap! nauli natumia yangu π Nimeuza alizeti tayari.Nipo hapa mkuu
Mada yangu inahusu kufika sio kuishi kama ushafika Safi sana mkuu.Tunakuja kilasiku mkuu
Huyo ni mpori pori mkuuπ€£π€£ππππ Nimekutukana matusi mengi sana!
Mi nataka wa Darrr! (taja dar kwa lafudhi ya slei kwini)
Njaa ndiyo zinawasumbua.Mngekuwa na vyakula nani angekuja huko kufanya nini?Wakulima wanawaonea huruma wanawaletea chakula.Wakati mkilima huko mkilima kwenu soko lenu ni dar.