Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Hii yenyewe mkuu ππΎππΎππΎYalait ya mwana falsafa mmbunge wetu
Long time aiseeKuna hii nyingine Mkuu
Yalaiti ujumbe wake si wa Mwanaume kuolewa ama?Yalait ya mwana falsafa mmbunge wetu
Baba paroko ni baada ya wanandoa hapo mwanzo kupendana na kuoa badaye kuanzia kuishi pamoja na visa kuanzia.Mkuu hujui nyimbo Baba Paroko naleta mashitaka kwako ndo yenyewe
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Huu nao upo bomba sana.
Bob rudala alituliza kichwa Ila stara Thomas yake pia ni lijendi kwenye harusi
Mkuu hii ni English ,za kiingereza mbona zipo kibao.Kuna hii nyingine Mkuu