Ndege Tai
JF-Expert Member
- May 6, 2020
- 4,439
- 8,184
Jina la wimbo lipo sahihi?Soul N' Faith - Niwe Nawe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jina la wimbo lipo sahihi?Soul N' Faith - Niwe Nawe.
Memories kipindi hicho tunasikiliza sedioDaah old is goldLong time aisee
Mkuu kipindi hicho wema sepetu ni miss Tanzania 2006 ndiyo tulikuwa tunaskiliza nyimbo kama hizi za emanuel nkulila sijui huyu mtu hata yupo wapi sasa hiviMkuu hii ni English ,za kiingereza mbona zipo kibao.
Issue ni hizi za lugha yetu pendwa ambapo ikipigwa ukumbini kila mmoja lazima moyo utetemeke.
Huyu mama yupo wapi?Huu nao upo Bombs sana.
Hivi unajuwa hao ni wana ndoa halisi?Kuna ule wimbo wa the kilimanjaro band "mpenzi wangu naomba nikueleze pendo langu lililo moyoni mmh moyoni mwangu, mapenzi niii kuheshimiana nami mpenzi nimekuheshimuuu"🎵🎼
Anyway nimeachwa sitaki tena maswaliiii, naenda beach kula upepo wa bahari, naumwagilia moyo mziki kwa mbaliiii, jimbo lipo wazi sema nitakubali....unantaka basi ntongozeeee🎵🎼🎼🎼🎼
Yeah najua, na jamaa alishafariki nadhani.....anaitwa waziri eehHivi unajuwa hao ni wana ndoa halisi?
Wote wapo The Kilimanjaro band.
Latifa ilikuwa ni more [emoji91].MB Dogg - Latifah
MB Dogg - Ina Maana
MB Dogg - Si Uliniambia
FA + Linah - Yalait Remix
Tabora Jazz - Rangi ya Chungwa
Les Wanyika - Kasuku
Mzuri ila verse hazijaa maneno
Ule wimbo mrefu sana...Mkuu hujui nyimbo Baba Paroko naleta mashitaka kwako ndo yenyewe
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
No, aliyefariki ni Babu njenje mwenyewe alikuwa anasumbuliwa na stroke, enzi hizo ukipenda ile mishangingi ya Ki mjini basi mambo yote Gogo hotel, Ambassador Plaza.Yeah najua, na jamaa alishafariki nadhani.....anaitwa waziri eeh
[emoji2][emoji2][emoji2]Kataa ndoa.