mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
kumbe wewe ni lishangazi la kitambo😍😍😍😍😍😍😍
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumbe wewe ni lishangazi la kitambo😍😍😍😍😍😍😍
Kuupenda wimbo ndio kua lishangazi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👋kumbe wewe ni lishangazi la kitambo
sasa wimbo si wa zamani😂Kuupenda wimbo ndio kua lishangazi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👋
Demi niaje, long time no see....Long time aisee
Jaman jaman akuuuuuuuuuu nitue Babu eee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👋sasa wimbo si wa zamani😂
kwa hii taste ya mziki utapata sponsa lenye hela kweli??😂Jaman jaman akuuuuuuuuuu nitue Babu eee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👋
nimefurahi kuskia hilo, tuendelee kuishiNipo ndugu yangu, sijambo
Hii ni moto, nyota waziri 👏🏾👏🏾Hyo ni konki then kuna Kilimanjaro band -Tupendane
Nitake radhi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👋kwa hii taste ya mziki utapata sponsa lenye hela kweli??😂
Kuna hii nyingine Mkuu
Mkuu hujui nyimbo Baba Paroko naleta mashitaka kwako ndo yenyewe
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
😂Mkuu hujui nyimbo Baba Paroko naleta mashitaka kwako ndo yenyewe
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Huu nao ni mzuriAtatamani
Kuna ule wimbo wa the kilimanjaro band "mpenzi wangu naomba nikueleze pendo langu lililo moyoni mmh moyoni mwangu, mapenzi niii kuheshimiana nami mpenzi nimekuheshimuuu"🎵🎼
Anyway nimeachwa sitaki tena maswaliiii, naenda beach kula upepo wa bahari, naumwagilia moyo mziki kwa mbaliiii, jimbo lipo wazi sema nitakubali....unantaka basi ntongozeeee🎵🎼🎼🎼🎼